Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo walikuwa hovyo sana kale ka greenwood kalikuwa hovyo kameachwa dakika 90 ule uingereza unamponza
Uso wa Bruno baada ya Greenwoon kukosa ulionesha wazi angekuwa na mamlaka greenwood asingeendelea na mechi......

sio hiyo tu kuna ubinafsi amemfanyia ronaldo ronaldo yupo mwenyewe yeye akajigeuza mara 3 makusudi na akapiga.....heri aingiage sub
 
Wengine mnalaumu fernando kukosa penalt. Kama messi anakoswa na ndiyo ze best player ever, sembuse ronaldo na wenzie!!!!


Alafu musimlaumu kocha, wachezaji wakuraumiwa.
 
Haya mambumbumbu mekundu yamepigwa Tena leo .. hakuna timu hapa .. next month ndo mtasoma ubao na huyo mzee wenu wa kireno anayevaa jezi nambari Saba
 
Messi ana kipaji cha kuzaliwa,,,,timu ikielemewa ni mwepec kubadili game na kuipatia ushindi timu yake. Ronaldo icho ki2 hana.
Sema hapa umechapia sana na wewe sema unampenda mess sio hiki ulichoandika

Kama anasaidia timu ishinde wamebeba champions league ngap na ile barcelona na kisha ronaldo kabeba ngapi na madrid? Kwenye mech za mtoano na final nani ana goli nyingi? Nani top scorer wa uefa na national teams?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…