Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo hajabadili ubao huko? πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚
 
mkuu Bruno sio upigaji wake wa penalty na kupaisha kule unaona kabisa kuna makisudi fulani (nipo tayari kusahihishwa)

Pia kwa uchezaji wa timu wa leo ule na kupoteza pasi hata zisizo na pressure yoyote kuna mashaka....ngoja tuone.
Hata mm nimeona hilo wachezaj walikuwa hovyo sana naona kama washamchoka kocha walichokuwa wanakicheza hakijulikani nafikir sosha uwezo mwingine hana zaidi ya pale
 
Hata mm nimeona hilo wachezaj walikuwa hovyo sana naona kama washamchoka kocha walichokuwa wanakicheza hakijulikani nafikir sosha uwezo mwingine hana zaidi ya pale
sema timu yetu inafuataga process ndefu sana kumfukuza kocha.....

ila unaona tu wachezaji wanamtafutia kocha lawama zaidi kwamaana wanajua kocha hawasaidii katika upatikanaji wa matokeo.
 
sema timu yetu inafuataga process ndefu sana kumfukuza kocha.....

ila unaona tu wachezaji wanamtafutia kocha lawama zaidi kwamaana wanajua kocha hawasaidii katika upatikanaji wa matokeo.
Leo walikuwa hovyo sana kale ka greenwood kalikuwa hovyo kameachwa dakika 90 ule uingereza unamponza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…