Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,295
Shida MAN U PESA HAKUNA HYO NDIO CHANGAMOTOYaani pamoja na Sir Alex kutuma sms kwa OGS wakati wa Mchezo lakini bado ameshindwa kutumia mbinu za Babu
Sema Antonio Conte hana timu ni sisi wenyewe tushindwe kumchukua
Inatosha Ole atupishe aiseeYaani pamoja na Sir Alex kutuma sms kwa OGS wakati wa Mchezo lakini bado ameshindwa kutumia mbinu za Babu
Sema Antonio Conte hana timu ni sisi wenyewe tushindwe kumchukua
Hii ndio tunasema hatuna kocha. Kocha haangalii takwimu zako bali performance kila mechi ukizingua anakuzinguaDogo anacheza kijinga Sana... Halafu kocha hata hamkemei..
Msipo mfukuza hana aibu huyu boya yy anawaambia kuna progress wanafny..ole ni inept tactics zake ni failure ilo liko wazi hata umuulize mtt wa primaryKuwa legend wa timu ni pamoja na kupenda kuona inafanya vizuri bila kujali umehusika vipi. Kwanini Ole asiwe muungwana akaachia ngazi ili timu ipate mafanikio chini ya mtu mwingine?
Ni kama vile anatukaba wakati lengo letu ni ushindi
Tena inawezakuwa ndio timu inayoongoza kuwa na kikosi bora, kocha ndio kimeo.Kwenye timu zenye vikosi bora Ulaya Man Itd inaweza kuwa tatu bora.
Ila inafungwa na timu ambazo hata Azam anaweza kuzifunga.
Ole anatakiwa aondoke mapema sana, tupate kocha atakaebadili uelekeo.
Tukichelewa mwisho wa msimu tutaishia kuangaliana.
Chief Mkwawa alituambia msimu huu Ole atatushangaza, huku ndo kutushangaza?
Conte ni wale makocha wenye misimamo mikali, sijui kama bodi ya man u itamuweza. Aliondoka Inter baada ya kunyimwa bajeti ya kutosha na kulazimishwa kuuza wachezaji, akaona isiwe taabu!Yaani pamoja na Sir Alex kutuma sms kwa OGS wakati wa Mchezo lakini bado ameshindwa kutumia mbinu za Babu
Sema Antonio Conte hana timu ni sisi wenyewe tushindwe kumchukua
saConte ni wale makocha wenye misimamo mikali, sijui kama bodi ya man u itamuweza. Aliondoka Inter baada ya kunyimwa bajeti ya kutosha na kulazimishwa kuuza wachezaji, akaona isiwe taabu!
HahahaaKiufupi, Ole Sabaya uwezo umeishia hapa. Afurushwe kesho asubuhi kabla sijaenda jogging
Ongezea keane naona msimu huu kashalianzishaEvra ndio legend pekee aliyefungua mdomo juu ya uwezo mdogo wa Ole last season... Nasubiri kina Neville, Kean, na Scholes wataongea nini kuanzia sasa.
Kiufupi, Ole Sabaya uwezo umeishia hapa. Afurushwe kesho asubuhi kabla sijaenda jogging
Wakati wa Mourinho Rio Ferdinand alikuwa anagombana kabisa timu ikifanya vibaya, sijui siku hizi kapotelea wapi.Evra ndio legend pekee aliyefungua mdomo juu ya uwezo mdogo wa Ole last season... Nasubiri kina Neville, Kean, na Scholes wataongea nini kuanzia sasa.
Kiufupi, Ole Sabaya uwezo umeishia hapa. Afurushwe kesho asubuhi kabla sijaenda jogging
Mkuu ukiangalia body language ya mechi ya leo na Bruno kukosa penalty vile hauhisi kitu chochote?Yaani pamoja na Sir Alex kutuma sms kwa OGS wakati wa Mchezo lakini bado ameshindwa kutumia mbinu za Babu
Sema Antonio Conte hana timu ni sisi wenyewe tushindwe kumchukua
Bora tumefungwa, me binafsi nataka tupoteze hata mechi tano zijazo Ili angalau baadhi ya watu wafunguke akili kuwa hatuna kocha.Maumivu week in week out. Jinsi nilivyoshangilia ile penalty daaah! Bruno kwanini hakupiga kama kawaida yake?
Bora tungefungwa bila kupata penalty na kukosa.