Yani hapo Man u isibebe kombe lolote kwa miaka takribani 50 alafu City iwe inabeba makombe kila msimu plus UCLs ndani ya hiyo miaka 50 lkn pia Man u ndani ya hyo miaka 50 ishuke daraja japo mara tatu, umeona sasa ugumu wake? Kwamba hizo ni habari za kufikirika haziwezi kutokea na ikitokea hivyo juwa kwamba football is dead.