Squad ipo nzuri sana
Mwalimu sasa ndio kipengele, timu inacheza vibaya tangia mechi tunazoshinda hadi tunazofungwa, ni kama vile kwenye mazoezi huwa wachezaji wanaenda kuruka ruka hawajifunzi mbinu za kimpira, tunapiga pasi kwa sababu ni sehemu ya mpira, na kufunga kwa sababu ni sehemu ya mpira pia, lakini timu haijulikani inacheza mpira wa kushambulia au kujilinda.
Nalia na ole
Ronaldo out lingard in
Tactically hii sijui ilikuwa imekaaje wajuzi naomba msaada