Mkuu unawatisha Newcastle na kisancho maji ya shingo
Newcastle are u ready for we are more than ready View attachment 1930700View attachment 1930701View attachment 1930702View attachment 1930703
Son ana hatihati ya kutoanza, Torres namuona akianza mbele ya Pep roulette kwasababu kama ile ban ya wachezaji wa Brazil itafanya kazi hatutamuona Jesus halafu City ana eazy fixture. Suala la Lukaku pia ntaliangalia kama ataweza kukaa kikosini still niwe na strong team kila angle.Son ungemuacha, Bruno ndio alifaa kuuza ili ufanye usajili wa cr7. Hiyo chip ya wildcard mbona mapema hivyo? Huyo Torres hamna kitu wiki hii, ongeza straika Lukaku
Namuacha hivyohivyo maaana hata akiingia kipindi cha pili huo ndiyo muda Man. Utd wanapelekaga moto zaidi.ushauri wangu mtoe ronaldo ucaptain maana ni mawili ulie sana asipoanza au ufurahi sana akianza
Son ana hatihati ya kutoanza, Torres namuona akianza mbele ya Pep roulette kwasababu kama ile ban ya wachezaji wa Brazil itafanya kazi hatutamuona Jesus halafu City ana eazy fixture. Suala la Lukaku pia ntaliangalia kama ataweza kukaa kikosini still niwe na strong team kila angle.
Ushauri wangu usitumie pesa nyingi kwa wachezaji wa bench badala yake tengeneza kikosi cha kwanza imara, pia usitumie viungo wakabaji halafu mabeki wa City wiki hii naona wakiwa na kazi ngumu ikiwa watamkosa Ederson, mbele ya Leicester hii wanaweza wakakosa clean sheet.Na mm nimeanza kujaribu, japo cjaelewa vzr lkn naimani mbele huko nitaelewa tuView attachment 1930962
Nitafanya hivyo.Naomba unijuze kuhusu habari za chip and unlimited Chip, pia kum triple mchezaji u captain inakuwaje, ukipata muda naomba unitupie PM darasa la hii kitu mkuu mana hapa co mahala pake
Ronaldo kashazeeka ,wenzake wote aliocheza nao ni makocha now yeye Bado anahangaika tu na man utd .....
Giggs kacheza had akiwa na miaka 38 kaa kwa kutuliaRonaldo kashazeeka ,wenzake wote aliocheza nao ni makocha now yeye Bado anahangaika tu na man utd .....
itoshe kusema mmesajiki mbuzi mzee,aliyezeeka ....
We have classic player KDB ,nyie mko na mbuzi inaitwa ronaldo ,tutakutana uwanjan tuwaoneshe how we do ....
Ronaldo ni mchezaji wa tofauti na hao unaosema wazee.Ronaldo kashazeeka ,wenzake wote aliocheza nao ni makocha now yeye Bado anahangaika tu na man utd .....
itoshe kusema mmesajiki mbuzi mzee,aliyezeeka ....
We have classic player KDB ,nyie mko na mbuzi inaitwa ronaldo ,tutakutana uwanjan tuwaoneshe how we do ....
Hawezi kukaa kwenye kikosi chetu anakaa bench tuu,.... .,Ronaldo ni mchezaji wa tofauti na hao unaosema wazee.
Mbona mlimtaka??Hawezi kukaa kwenye kikosi chetu anakaa bench tuu,.... .,
Unaona ronaldo anaweza kumweka bench nan city ...
ili aje kukaa bench na kukuza bland ,ila kusema ronaldo anakuja kuwapa makombe ,ni sawa nakujitekenya na kucheka mwenyewe.....Mbona mlimtaka??
Ronaldo bado mtu wewe anamsaada mkubwa sanaq uwanjanili aje kukaa bench na kukuza bland ,ila kusema ronaldo anakuja kuwapa makombe ,ni sawa nakujitekenya na kucheka mwenyewe.....
Na hawa nyumbu msimu wa nne huu hawajabeba hata sahan
Huyu ni mzee tu ,Hana uwezo tena wa kubadilisha matokeoo uwanjan timu ikiwa imelemewa....Ronaldo bado mtu wewe anamsaada mkubwa sanaq uwanjan
Kwenye kukaba sio mkabaj kwl ila unahis kwa zile pas hatar za pogba atawaacha kwl wapinzani ihiiiiiiiii yajayo yanafurahishaHuyu ni mzee tu ,Hana uwezo tena wa kubadilisha matokeoo uwanjan timu ikiwa imelemewa....
Wapiga cross wenyewe et kina Fred na magwaya