Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni wivu tu ,...

Na hamtafika popote na wivu wenu kuingilia madili ya watu kudadekii...
 
Mkuu tuwe tunasoma alama za nyakati, pale Utd hata angekuja nani bado tungesema kuna eneo linapwaya, co kwamba hatuna wachezaji bali tumepoteza ari na bahati, acha aje CR7 arudishe kujituma kwenye timu cz wachezaji wazembe na wavivu wataanza kujituma hata mazoezini mana hawatojisikia vzr mzee kuwazidi ktk kufanya mazoezi.
 
Hatuhitaji bahati tunahitaji matokeo yaliyopikwa kwa juhudi na maarifa.

Je kuja kwa Ronaldo kutapunguza au kuongeza Laissez faire attitude ya Ole na benchi lake ?
 
inawezekana upo sahihi mkuu....ngoja tujipe muda tuone mipango ya timu juu yake.....

Pia tungoje tarehe 31 kujua hatma ya usajili wa DM
 
inawezekana upo sahihi mkuu....ngoja tujipe muda tuone mipango ya timu juu yake.....

Pia tungoje tarehe 31 kujua hatma ya usajili wa DM
Ktk eneo hilo staki kuwa mnafiki hilo shida lipo toka 2013 scholes alipoondoka na sir alex hapajawahi kufanyiwa kazi huwa najiulizaga sana makocha wanaokuja wanawazaga nini bora hata van gaal alijaribu kumleta morgan shneiderlin
 
Ronaldo hajawahi kucheza Europa katika uchezaji wake wote ....

Soon anaenda kucheza kwa Mara ya kwanza akiwa united...

United kukimbilia Europa baada ya kipigo kutoka CL huko ni swala la kawaida....
 
Kwa taarifa yenu ili ronaldo avae jezi namba 7 ,lazima Cavan aondoke united ,vinginevyo mtakuwa mnavunja sheria EPL ...

Mimi naona ronaldo mmupe jezi namba 98 hukooo...hahaaaa
 
Hatuhitaji bahati tunahitaji matokeo yaliyopikwa kwa juhudi na maarifa.

Je kuja kwa Ronaldo kutapunguza au kuongeza Laissez faire attitude ya Ole na benchi lake ?
Hakuna kitu au jambo lolote lile chini ya dunia hii likakosa bahati, hata hao wazungu wenyewe wanajua hilo na wanaiita lucky, sisi tumekosa kujituma na bahati pia na ndiyo maana unakuta tunapigiana penalti 10 zote zinaingia ila yetu ya 11 tunakosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…