Sasa unamchezasha nani kwenye hiyo nafasi?..Matic??,,McTominay??Tatizo la Fred ni saa mbovu.
Dawa ni kununuwa tu DM mwenye akili timamu..Sasa unamchezasha nani kwenye hiyo nafasi?..Matic??,,McTominay??
Mkuu kumuita Fred saa mbovu ni kumkosea heshima, ama humpendi tu.Tatizo la Fred ni saa mbovu.
Sasa hilo ni juu ya Ole na bodi..Dawa ni kununuwa tu DM mwenye akili timamu..
Mbona city wananunuwa wanayemtaka!
Wewe subiri uone atakavyoongezewa mkataba..utafurahi na roho yako.Huu ndio Muda sahihi wa kumuuza Dan James.
Wasisubiri thaman yake ishuke Hadi single digit.
Amad na Elanga wapewe Dkk zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole anasema sajili hizi mbili tulizofanya zinatosha kabisa kabisa..na kama tutasajili tena itakuwa ni bonus tu.Sajili zetu zimekuwa za kuwafunga midomo mashabiki zaidi kuliko kutafuta matokeo uwanjani.
Tangu msimu wa 2020/2021 unaanza kila mtu aliona upungufu wa maeneo matatu kwenye kikosi cha manchester united;
1. beki wa kati...varane
2. winga wa kulia...sancho
3. kiungo cha chini....?
Kwanini tuingie kwenye ulingo ingali tukijua tuna mapungufu ya kikosi halafu tutegemee udhaifu wa adui kushinda pambano?
Ni lini Ole alisema anataka kumtumia Donny kama DM msimu huu.Hicho ndy kitakachotukosesha ubingwa 2021/2022./
Anataka kumtumia van de beek kama DM...
Huyu ole chizi kabisa
Hahaha, sitashangaa kama waliweza kumuongezea mkataba Philip Jones.Wewe subiri uone atakavyoongezewa mkataba..utafurahi na roho yako.
Bora hili swali umeliuliza.Ni lini Ole alisema anataka kumtumia Donny kama DM msimu huu.
Arsenal wamemuuza Willock ila sisi tumeshindwa kumuuza LingardWatu wakuuza kazi kuwatoa kwa mkopo tu uza hizo species tupunguze watu kikosini wasio na faida.
Niliisoma sehem kwenye fan page ya man uNi lini Ole alisema anataka kumtumia Donny kama DM msimu huu.
Huo mfumo wa kuweka mactoomy na fredy ndy unatufanya tusiwe bora..Sasa hilo ni juu ya Ole na bodi..
Mimi nimepanga kikosi ambacho nahisi ndo strongest kama hatutosajili tena..maana dalili ya kupata sajili ya DM wa kueleweka naona hamna.
Ajabu kabisa..wakati kuna DM Russia na America kusini hawana majina lakini ni balaa .Sajili zetu zimekuwa za kuwafunga midomo mashabiki zaidi kuliko kutafuta matokeo uwanjani.
Tangu msimu wa 2020/2021 unaanza kila mtu aliona upungufu wa maeneo matatu kwenye kikosi cha manchester united;
1. beki wa kati...varane
2. winga wa kulia...sancho
3. kiungo cha chini....?
Kwanini tuingie kwenye ulingo ingali tukijua tuna mapungufu ya kikosi halafu tutegemee udhaifu wa adui kushinda pambano?
Unaangalia Mpira siku zote au Mara moja moja?Mkuu kumuita Fred saa mbovu ni kumkosea heshima, ama humpendi tu.
Niliwahi kusema.Ajabu kabisa..wakati kuna DM Russia na America kusini hawana majina lakini ni balaa .
Tungeweza kuwapata hata kwa 10 milioni.
Acha kulinganisha hao vilaka wa man u na chuma kama grealishNiliwahi kusema.
Kutoa hela nyingi kwa wachezaji wa kingereza sio sahihi.
Ni wachezaji average sana ila ni gharama mno. No value for money.
Angalia Harry Kane anataka kuondoka Spurs. Ila hakuna timu ilioonesha serious kutaka mchukua.
Grealish unadhani ana hiyo thamani? Ame prove nini cha kumfanya anunuliwe kwa hiyo hela?
Verane tumetoa 45M ila Maguire tumetoa 80M. Wana utofauti upi?
Bruno angekuwa muingereza price tag yake ingekuwa not less than 120M.
Kuna wakati tuangalie vipaji toka nje ya UK.
Ila hii tabia ya kukumbatia hawa waingereza inazidi igharimu timu. Hakuna wachezaji wenye akili ya mpira. Mabenteke ndo yamejaa.
Bei alionunuliwa Bissaka alitakiwa apige kazi kama kina Dani Alves. Ila hakuna maajabu yeyote. Leo tunawaza tena kumchukua beki mwingine.