Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hii timu isiposajili viungo wawili au mmoja tabu iko palepale
 
sosha akijiaminisha na ule usajili wake tukaingia kuliwasha mbungi tutaishia kupigania top 4 bila kiungo cha maana kazi bure yule fred na scott sioni kama ni watu sahihi pale kwenye mech ngumu za timu ngumu
 
sosha akijiaminisha na ule usajili wake tukaingia kuliwasha mbungi tutaishia kupigania top 4 bila kiungo cha maana kazi bure yule fred na scott sioni kama ni watu sahihi pale kwenye mech ngumu za timu ngumu
Msimu huu hakuna cha double pivot
 
Duh! Kweli nyie watu hamuishiwi vimaneno.

QPR katupiga 4 mkasema timu mbovu.

Jack Mmepigwa mnakuja na statistics hazina kazi.

Ngoja aanze kukokota na UCHOYO ULIOPITILIZA ndio mtajua hamjua.

Afadhali Maguire atapumua kuhusu bei ya kununuliwa.
EPL ikianza mtamkataa Huyo magure
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Mnaoangalia hii mechi,naomba kujuzwa performance ya Don kama anaendelea kuimarika ndani ya united.
 
Badala ya kusajili makinda Brazil tunabakia na wababaishaji wa UK tena kwa kuvunja benki
 
sosha akijiaminisha na ule usajili wake tukaingia kuliwasha mbungi tutaishia kupigania top 4 bila kiungo cha maana kazi bure yule fred na scott sioni kama ni watu sahihi pale kwenye mech ngumu za timu ngumu
Unashangaza sana!!!

Misimu yote waliyocheza Scott na Fred against big games tulifanya vizuri kuliko wakiwa hawapo.

Unataka big games zipi ambazo hawaperform ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…