Hiyo ndy mtu tunayemtaka man u na sio kutuletea makinda.mwanadamu fulani mwenye mapafu ya mbwa.
CAM anacheza kwa ufasaha kwa sababu amejaaliwa nguvu, pace, aggression, intelligence na uwezo wa kushinda mipira dhidi ya adui
Kwa jinsi inavyoonekana ni kama Vile OLE hana mpango na DM, bali CM, ili andelee na Double pivot.Kwahiyo tutaachana na suala la kutafuta DM na kumuacha Pogba aende zake ?
Pogba anakuwa mzr akicheza na watu wazuri.Huyo dogo mkuu Camavinga hapana
Kama manchester united wapo serious pogba wapewe madrid wabadilishane na huyu mwamba
View attachment 1836287
Federico Valverde
Mbona tutafurahi pogba si mchezaj mbaya ila sifikirii kama anaipenda sana hii timu analazimishwa
Varane yupo vzr sana,,tupate na DM mkali ,,na striker no 9 ya kumsaidia Cavan..Pogba must be in the verge of leaving us..
Nembo mpya ya kibishoo imeingia Old Trafford.
Karibu Sancho.
Now,twende na CB sasa..
Naweza kumfananisha na Frank Lampard kwa ukaribumwanadamu fulani mwenye mapafu ya mbwa.
CAM anacheza kwa ufasaha kwa sababu amejaaliwa nguvu, pace, aggression, intelligence na uwezo wa kushinda mipira dhidi ya adui
Inakuaje kila msimu tunaimarisha kati tu?Next Edwardo Camavinga
Ainda não falou cota, mas um dia vai falar bem.Basi hapa ma nyumbu yame shusha oumzi yame pozwaa na mchezaji mmoja utazani yanaenda kubeba ndoo..yale yale ya di maria
Não ainda !Bado hajafukuzwa tu
É estupido, mal criado, mal indicado.Matakataka munajadili Nini hapa?
Me chaguo langu lilikua kwa Halland, ila kwakua tunatatua tatizo la upande wa kulia (kwa muujibu wa wataalam wanadai, timu yetu kwa muda mrefu imekosa RW wa uhakika) sio mbaya tukimsajili.Ila Sancho sina imani naye to be frank. Ni wa kawaida but highly rated. Tungevunja bank kuwaleta Halland na Joao Felix
Kwa nini mkuu? si pesa tu.Leon Goretzka Hawezi kutoka Bayern kwa sasa.
Sijaelewa mkuuÉ estupido, mal criado, mal indicado.
Nilitaka kuandika hii kitu. Kama kuna uwezekano anaweza kutufaa sana.Nawakumbusha tu.
Leonel Messi ni free agent.
Kama atakubali £100k kwa wiki aje OT.Nawakumbusha tu.
Leonel Messi ni free agent.
Anahitaji CM atakayeweza kucheza double role vizuri kuliko kina Pogba na Scot.Kwa jinsi inavyoonekana ni kama Vile OLE hana mpango na DM, bali CM, ili andelee na Double pivot.
Timu haina mwelekeo mkuu,Inakuaje kila msimu tunaimarisha kati tu?
Tunaweza kum-offload Anthony Martial ($200k/weekly) pamoja na pesa tutakayoipata baada ya kumuuza hata kwa Pound 30M mahala popote tukaongezea ktk mshahara wa La Pulga. Nina uhakika hawezi kugoma kupokea $350k ~ $400k/weekly kwa mwaka mmoja.Kama atakubali £100k kwa wiki aje OT.