Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marehemu alipiga chafya lakini tumezika hivyo hivyo 😅

Marehemu alipiga chafya lakini tumezika hivyo hivyo 😅😅🍻🍻🍻🍻
dah...we jamaa bana umenifanya nicheke asubuhi kama chizi.. hakiyanani JF raha sana hasira zote za kufungwa zimepotea.popote alipo PEP ajue kuna mashabiki wengi wa mkopo tuna jambo letu fainali asituangushe.
 
jana tumekufa kishujaa kama simba
 
Nasemaaaa kimeumanaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jumamosi zaidi ila sema yule kocha wenu hajawah poteza mech ni timu za spain au kocha kivyo naona chelsea akienda kushinda hilo sina shaka mengine dakika 90
 
★[emoji174]Win, lose or draw. No matter the result, we're always United.★

#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…