Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani hakuwa na dalili za kidaka kata moja, yule kipa wa Villarreal alizifuata sana ila mashuti ndo yalikuwa yanamzingua.... Sasa huyu degea kapiga shuti la kuku kabisa.
De Gea hata enzi za Ubora wake hajawahi kuwa mzuri kwenye penalty. Alikuwa mzuri sana kwenye 90'
Nilivyoona timu zimefika matuta nikajua tu Man U kwaheri.
 
EhYg9dVXsAA00Ev.jpg


😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom