Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Angemtoa Rashford siyo Greenwood, Ole atachukiwa sana tusiposhinda leo.
 
Nadhani umeona sub iliyofanyika. Japo hajatoka Rashford lakini katoka Greenwood ambaye ni Winga kaingia Fred. Maana Pogba anasogea mbele.
Hiki ndio nilikuwa nasema.
Angalia comment yangu kwa chini, sikuwa napinga kuingia kwa Fred. Nikichokupinga ni wewe kusema kwamba Pogba atoke, alafu Fred aingie Ili Rashford asogee mbele.
 
Yani Rashford anakuonyesha wazi kabisa kuwa hawezi kuendelea na mchezo, alafu unatoa Pogba kisha unaingia james.Hii game akipoteza, atatukanwa sana.
 
Ole amemuacha Rashford muda wote kwa sababu ya penalty. Mbona Mata mpigaji mzuri sana.
 
Ole amemuacha Rashford muda wote kwa sababu ya penalty. Mbona Mata mpigaji mzuri sana.
Na kwajinsi alivyo nje ya mchezo psychologically mpaka Sasa, si ajabu akakosa penalty pamoja na kumuacha humo ndani.

Ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…