Wahispanyola wahuni sana,tusiende na matokeo mfukoni..na pia beki zetu nimegundua bila Maguire ndo hamna kitu kabisa..Jumatano sosha anaenda kubeba kombe lake la kwanza kama kocha wa manchester united
Nahisi Lindelof hakunywa maziwa ya ng'ombe utotoni,mlaini sana kama sio beki wa kati.Wahispanyola wahuni sana,tusiende na matokeo mfukoni..na pia beki zetu nimegundua bila Maguire ndo hamna kitu kabisa..
Mzee baba kumbe upo?..tupo fainali ya Europa bana..Bado hauja pona tu mpaka leo!?
Nilikutana na changamoto za Dunia, lakini namshukuru mungu nimezishinda.Mzee baba kumbe upo?..tupo fainali ya Europa bana..
Umerudi mkuu mana watu walikuwa na wasi wasi huenda machimbo yamezingua, eti yamekula kichwaBado hauja pona tu mpaka leo!?
Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?Umerudi mkuu mana watu walikuwa na wasi wasi huenda machimbo yamezingua, eti yamekula kichwaanyway ur welcome again.
Dah pole sana mkuu.Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?
Mwa huu mwezi wa tatu tumepoteza waponcha wengi (kumi na sita kwa kukisia) mabox matatu yali katika na kusababisha mahafa hayo, namshukuru mungu niko mzima.
Walinikamata tu maporini (poli ni la mzungu) na kunihukumu miezi sita lakini namshukuru mungu kuna jamaa yangu wa kisukuma kapiga pessa kaja kunilipia, ila nimekunywa uji mwezi mmoja na siku kumi na nane.
Pessa tamu ila tusio na elimu tunazitafuta kwa mbinde, we acha tu, mungu mwenyewe anaona.
Ha ha ha ha ha ha, mkuu kufa kulala kaburi tuta, hulijui hilo?
Mwa huu mwezi wa tatu tumepoteza waponcha wengi (kumi na sita kwa kukisia) mabox matatu yali katika na kusababisha mahafa hayo, namshukuru mungu niko mzima.
Walinikamata tu maporini (poli ni la mzungu) na kunihukumu miezi sita lakini namshukuru mungu kuna jamaa yangu wa kisukuma kapiga pessa kaja kunilipia, ila nimekunywa uji mwezi mmoja na siku kumi na nane.
Pessa tamu ila tusio na elimu tunazitafuta kwa mbinde, we acha tu, mungu mwenyewe anaona.
Picha ya kwanza juu goli la Fulham Scot alikuwa ameshatoka kaingia Rashford ndiyo maana hapo Pogba anaonekana kwenye boxHapo angalia ktk hayo matukio humuon fred wala scott ndan ya 18 au nje ya 18 kisha bissaka anavutika ndan kusaidia anaacha mtu kushoto kwakeView attachment 1791398
View attachment 1791399
View attachment 1791400
Daah! Pole sana mwamba. Niliona kimya sana ata kwenye namba yako nilikuwa sikupati kabisa. Karibu sana, ila Chelsea wako fainali ya UEFA.
Picha ya kwanza juu goli la Fulham Scot alikuwa ameshatoka kaingia Rashford ndiyo maana hapo Pogba anaonekana kwenye box
Wanachotakiwa ni kuongeza Passing Accuracy kubwa lakini tukumbuke pia timu yetu mbele haitunzi mpira ndiyo maana ni rahis zaidi kuyaona makosa yao maana wanakuwa na kazi kubwa ya kusahihisha makosa ya wenzao mbeleIla bado panatakiwa mtu makini sana eneo hilo wanapoteza sana mipira
Kuna tofauti kwa wa nne. Anaanzia chini kidogo. Mechi 2 zaidiUbingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.
Tayari walikuwa wameingia top 4 kabla ya michezo minne ya mwisho hakukuwa na haja yoyote ile ya kukamia unless for "ego massaging" ya kumaliza nafasi ya pili. Kitu ambacho hakina maana, EPL mtu wa pili na wanne hakuna tofauti.
Hakuna jinsiNasapoti kwa asilimia mia
Hatuchomoki kwa unai