Kichapo ni kichapo tu hata mkijisaulisha
Kitanzi cha mwisho ni pale alipomtoa Baily akamwingiza Matic tukawa Vulnerable zaidi nyuma kwa kina Salah na Mane kwa sababu hakuna tena mwenye speed uwanjani.
Yule jamaa wa screenshot hajatuma tu bado
Kuna mechi tano pale December na January ndiyo zilituharibia mwelekeo pengine tungebattle na Man city mpaka dakika za mwishoShukrani Boss
Wakati natoa hii prediction, Man u moto ametoka kutoa kipigo kitakatifu cha goli 9 kwa Southampton.
Wakati huo mmetoka nafasi ya 10 mpaka ya 2 mnampulia city kwa tofauti ya point chache.
Kwa style ya uchezaji wenu na matokeo yenu ya kutotabirika niliona hamtachukua ubingwa bali mtasumbua sumbua.
Na kweli mlisumbua mkapanda kileleni baridi ikawa kali mkashuka
View attachment 1784211View attachment 1784213
Mkuu ulimaanisha tubebe ubingwaView attachment 1784217
Lakini ndiyo football hiyo tungerekebisha mapungufu yetu obvious next season tutakuwa sawa.Kabisa Mkuu
Kinaharibu nini kwa manchester united? Hayupo kwenye mbio za ubingwa wala kukosa top 4 ya nini sasa nikae kuumiza akili hata kocha mwenyewe anajua ni upuuzi ila nyie mnaojinasua msicheze europa ndio mnatakiwa kutumia nguvu hiv kwa akili yako united angekuwa hana uhakika wa top 4 ungeshinda?
Ningeshinda tu kama Sheffield alivyoshinda hapo Oldi traffodi. Acha kutafuta visingizio hakuna shabiki wa Man u uingereza anayependa kufungwa na liverpool
Ukweli ni kwamba OGS, amefanya kazi kubwa na hata improvement inaonekana wazi, kawazidi kwa mbali mno watangulizi wake(Mou, LvG na Moyes).Oky mkuu sasa mapungufu yenu ni kocha au wachezaji?
Wachezaji:- viwango kuwa duni, oky labda mtasajili CB, Winga, DM, RWB.
je ndio suluhisho la mapungufu?
Kocha:- kuboresha viwango vya wachezaji, kupanga kikosi, style ya uchezaji, Morali na mbinu.
Je OGS anastahili kuletewa wachezaji wapya au kuboresha viwango vya wachezaji waliopo Rashford, Fred, Martial, James, Bissaka, Pogba + kuboresha mbinu zake kama kocha?
True..hata hao Liverpool hawakuwa vizuri,tuliwazawadia tu goli hizo nne kizembe.Jana mtu aliyeflop zaidi kuliko wote ni Fred probably ni Fatigue kacheza mfululizo toka August 2019 non stop unategemea kabisa kutokuwa sawa.
Recently Fred amekuwa na makosa mengi sana sababu ya uchovu na kukosa umakini.
Upande wa kushoto na kulia jana fullbacks na wings tulikuwa hovyo sana hatukuwa na threat yoyote uwanjani.
Ila bora angecapitalize game ya Leceister tungeweza kupata ushindi kuliko hii game ya Liverpool.
Tulikuwa hovyo sana everywhere.
Ukweli ni kwamba OGS, amefanya kazi kubwa na hata improvement inaonekana wazi, kawazidi kwa mbali mno watangulizi wake(Mou, LvG na Moyes).
Lkn kwenye suala la ubingwa wa EPL bado sana aisee. Sijui ni mimi 2 au na wengine wanaona, bado tunacheza mpira wa kubahatisha.
Mm naamini ni rahisi kwa OGS kushinda UCL kuliko EPL
Unavyosema Ole kamzidi mpaka Mou ni katika lipi? Mou alicheza na wachezaji wazee ambao wamefurushwa karibia wote na still alifanya vizuri ikiwa ni kuchukua na Europa. Ole amepata karibia wachezaji wote muhimu wanaohitajika, badala ya kujiuliza kwa nini timu haikufanya vizuri UEFA unasema Ole anafanya vizuri.Ukweli ni kwamba OGS, amefanya kazi kubwa na hata improvement inaonekana wazi, kawazidi kwa mbali mno watangulizi wake(Mou, LvG na Moyes).
Lkn kwenye suala la ubingwa wa EPL bado sana aisee. Sijui ni mimi 2 au na wengine wanaona, bado tunacheza mpira wa kubahatisha.
Mm naamini ni rahisi kwa OGS kushinda UCL kuliko EPL
Msimi ujao chelsea liva zitaamka kumfukuzia city muda huo na sie sijui tutakua na mwendo ganiMi sikuangalia mkuu hii mech hata kuizungumzia nashindwa kwa sababu hakuna tulichokuwa tunatafuta niliongelea kupoteza mipira baada ya kuona watu twitter wanalalamika viungo wanapoteza sana mipira hii namba kwa next season kwa sababu ole hata kuwa na kisingizio tena pia huwa nazungumzia kipaumbele kwenye kubeba ndoo sir alex aliweka nguv kubwa epl ndio maana kukawa na utawala wa kutosha hakupotezs nguv za carabao wala fa kitu ambacho ole anashindwa kuchagua wap afie kwa mfano maguire na bruno wamecheza kila mech kila michuono wanachoka hawa kakosa epl kizembe sana japo haikuwa kwenye plan ilitokes zar tu baada ya timu zilizopewa nafasi kupotea kapigwa gem nne za timu chini ya nafasi ya 7 na droo ambapo angatia nia huku alikuwa anabeba epl bila wasi msimu ujao utakuwa mgumu sana kama wasiposajili mbadaka wa scott na fred hawa wanakaba wanapoteza pasi halafu hawana mchango timu kwenda mbele
Msimi ujao chelsea liva zitaamka kumfukuzia city muda huo na sie sijui tutakua na mwendo gani
Unaonaje kiwango cha golikipa wako janaKocha atakuwa hana kisingizio atakuwa kakaa muda mrefu sana yeye mwenyewe anatambua