Kukaba kuanzia FIFA 20 kumekua miyeyusho. Mimi FIFA 20 na 21 nilianza kuzicheza baadaye kwavile kukaba kulikua kunanishinda.Natumiaga MAN U KAMA NATAFUTA MATOKEO TU .
ila kama ku enjoy football natumia Arsenal.
sema kukuba na skills najiona bado sana
Nimeanza kucheza kwa kuseti team tactics kwenye defense "Balanced" na attack "Possession" wachezaji wanakua hawaachani sana na hawaendi mbele wote hivyo nabaki na mabeki na CDM anaweza kukimbiza mpira bila kuharibu line ya mabeki.
Barcelona ilinishinda kwakua ni nyepesi mno hata ukiseti hivi bado timu nzima inamove. Beki wa Barcelona ana skills za nyota 5. Skills najua kiasi chake, kumtoka beki kwa skills hakunipigi chenga