bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 860
Siyo sana. Ya kutosha kucheza loser tuFIFA UNAWEZA SANA MKUU?
Lini upo free nikulipishe looser?Siyo sana. Ya kutosha kucheza loser tu
Unavyoandika tu unaonyesha hujui kitu😂. Wewe unacheza fifa gani? Mi nacheza zoteLini upo free nikulipishe looser?
FIFA 21 MKUU NIKO NAJITAHIDI SANA KING WA APA DAR UNAMJUA ASHRAFU?Unavyoandika tu unaonyesha hujui kitu. Wewe unacheza fifa gani? Mi nacheza zote
Hahaha goli 8 hujabahatishwa.FIFA 21 MKUU NIKO NAJITAHIDI SANA KING WA APA DAR UNAMJUA ASHRAFU?
Alinibahatisha goals 8 kwa bila
Nielekeze mkuu nikipata chance nijeHahaha goli 8 hujabahatishwa.
Mimi simjui huyo jamaa.
Haya sasa nikuelekeze nilipo au?
Poa.Nielekeze mkuu nikipata chance nije
Haina noma man nitatafuta siku nije kupima uwezo wangu.Poa.
Siku ukipata chance ukifika Peace, Mwananyamala au Makumbusho nicheki pm nakupa digits nakueleza eneo la tukio
Tumepigwa pale..VdB ni hasara kubwa..
Muweke anakaba sana na dogo anaitwa WilliamsHuwa simuweki uyo
Namuwekaga nafasi yake Telles sababu ya PACEMuweke anakaba sana na dogo anaitwa Williams
Mataji kwa kikosi kipi na kocha yupi?Ubingwa tulisha ukosa kitambo kwasasa tujiandae na fainali, mambo ya kushangilia nafasi ya pili ni upuuzi kwa Man u. Tujipange na kutwaa mataji msimu ujao.
Mimi natumia legacy ila si unajua kuna wachezaji wamegewa skills na uwezo na mashine yenyewe? Mfano Douglas Costa ana pace na acceleration ila mbele ya goli finishing kanyimwa mno.Namuwekaga nafasi yake Telles sababu ya PACE
Kukaba timing tu Mkuu kwani unatumiaga Legacy au Tactical defending?
Mimi natumia Tactical mkuuMimi natumia legacy ila si unajua kuna wachezaji wamegewa skills na uwezo na mashine yenyewe? Mfano Douglas Costa ana pace na acceleration ila mbele ya goli finishing kanyimwa mno.
Sasa Maguire kumtoka ama uwahi kupiga chenga au ucheze L1+X na ∆ ukisema ucheze one two ya mashine anakuzuia.
Situmii united hata hivyo hua naona watu wakitumia
Nikitaka kumiliki mpira natumia Bayern kwa 4 2 3 1.Mimi natumia Tactical mkuu
Team gani unatumia sana sana unayo iaminia?
Natumiaga MAN U KAMA NATAFUTA MATOKEO TU .Nikitaka kumiliki mpira natumia Bayern kwa 4 2 3 1.
Nikitaka kutegemea speed natumia chelsea kwa 4 3 1 2 namuweka Werner na Pullisic kama ST nyuma yao Mount. Au city ST anakua Sterling na Aguero nyuma anakaa Kevin.
Nikitaka game iwe 50/50 natumia Arsenal au Spurs.
Wewe ndiyo united tu?