Kuna watu walimponda sana Cavan wakati anatoka PSG ,,
Now siwaoni wala kuwasikia tena.
--Mzee.
--Majeruhi.
--Alikuwa benchi PSG.
man u tulikuwa na mshambuliaji no 9 lakini sio striker no 9.
sasa ndy imejidhihirisha tulikuwa tunahitaji no 9 aina ya cavani.
Shots.
Header zote goal..