Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nafikiri David itabidi ampumzishe Rafael na kumuingiza Chris...la sivyo, Rafael ataweza kupata kadi nyekundu..pia kutokana na yeye kuwa na kadi ya njano, kutamfanya hasicheze kwa kawaida yake....dakika ya 47
 
Real attacking now more than United...51st min...corner to Real
 
Chifu kukoswakoswa si sehemu ya mchezo?! Kuna mechi kweli timu itacheza bila kukoswakoswa?

si ndio naripoti tumekoswakoswa,kuna tatizo kwani kuripoti tumekoswakoswa!as i am writing tunaendelea kukoswakoswa....naendelea kuripoti tu mkuu
 
BXR-i2pIYAAAUUc.jpg
BXRR4xVIEAAb1Ev.jpg
BXSNtwqIEAEV4k_.jpg
 
Sub za mabeki hazifai kabisa kwani hazina tija kwa timu labda kama kuna beki kaumia
 
Rafael off..Chris in..just like I said...Rafael alianza kucheza kwa kuogopa kadi ya pili ya njano..ni sawa kutolewa..dakika ya 58
 
Back
Top Bottom