Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya kufungwa jana kuna possibility kubwa ya Hans Flick kwenda kufundisha Germany na atawarudisha Muller na Hummels kwenye timu ya taifa

Klopp alisema akitoka Liverpool atapumzika mwaka mmoja ndio ajiunge na timu nyingine currently hawezi kwenda kufundisha timu ya taifa au Bayern Munich

Nagelsmann ndio top choice kwa Bayern kama Flick ataondoka
 
Jambo la kutufanya tutwae ubingwa ni kushinda mechi zote ambazo tutaishia point 87 wakati Man City anahitaji mechi nne tu kuzifikia hizo points.

Ili tutwae ubingwa tunatakiwa kushinda mechi zote halafu Man city apoteze walau mechi tatu zijazo ni jambo rahisi hilo ?
 
Kichaa kweli yani kaona iyo ndio sababu ya maana...
 
mpira sio rahisi namna hio...


Sema ndio hivo shabiki Wa nyumbu ,unaukilaza flani ..



Man utd hana uwezo Wa kuchukua EPL ,never
 
mpira sio rahisi namna hio...


Sema ndio hivo shabiki Wa nyumbu ,unaukilaza flani ..



Man utd hana uwezo Wa kuchukua EPL ,never
Sasa ukilaza unatoka wapi kwanini usijibu hoja kwa hoja ,
Wamepita AC Roma ,Man U, Arsenal , na Villarreal .
Hapo nani Yuko mzuri zaidi ya Man U na Arsenal ? Lolote laweza kutokea Man U kubeba kwa hiyo list iliyobaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…