Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Hii aina ya uchezaji wetu kila timu tunayocheza nayo inageuka kuwa prime Barcelona hata mwalimu hana mwarobain wake.
Wakati anafundisha Molde Solkjaer alikuwa anafundisha mfumo wa kudominate possession kwa kutumia mfumo wa 4 3 3 kama alioanza nao pale United.
Sasa hivi tunavyocheza hata kuangalia mpira inakera sana hakuna ubunifu wowote kwenye kikosi zaidi ya kukimbiakimbia hovyo hovyo.
Timu haiwezi tena kumiliki mpira hata kwa dakika moja labda uwe mpira wa kurusha nao mrushaji achelewe kuurusha tu.
Binafsi siumizwi sana na matokeo tunayopata ila naumizwa sana uchezaji wa team yetu wa kubahatisha bahatisha tu wachezaji wetu hata kufanya runs za kutengeneza passing lanes hawawezi ni kama wote ndiyo academy graduates.
Wakati anafundisha Molde Solkjaer alikuwa anafundisha mfumo wa kudominate possession kwa kutumia mfumo wa 4 3 3 kama alioanza nao pale United.
Sasa hivi tunavyocheza hata kuangalia mpira inakera sana hakuna ubunifu wowote kwenye kikosi zaidi ya kukimbiakimbia hovyo hovyo.
Timu haiwezi tena kumiliki mpira hata kwa dakika moja labda uwe mpira wa kurusha nao mrushaji achelewe kuurusha tu.
Binafsi siumizwi sana na matokeo tunayopata ila naumizwa sana uchezaji wa team yetu wa kubahatisha bahatisha tu wachezaji wetu hata kufanya runs za kutengeneza passing lanes hawawezi ni kama wote ndiyo academy graduates.
