Najiuliza mpaka leo why kovacic alikataa kujiunga unitedKiungo chetu cha Fred na McTominay bado sana..wanashine kidogo kwenye big games..hasa huyu Mctominay ndo hovyo kabisa,anapiga touchesnyingi,anamissplace pasi nyingi na ni mzito kwelikweli..Hapo bado Fernandes hajapoteza mipira kwa kujaribu difficult things..
Anyway
Welcome back Pogba..
Akichukua fa je
Peleka jukwaa la chelsea.Tuna msiba, lakin mnaionaje Chelsea.?
Ngoma bado mbichi hii mkuu, uwepo wa Roma, Ajax na Villareal kwenye mashindano ni dhahiri bado tuna safari ndefu, though we're more likely kuwa Champions.Kati ya arsenal au manchester united mmoja akishindwa kubeba hilo kombe la futuhi utakuwa uzembe wa hali ya juu kwa soka wanalocheza na timu zilizopo hapo naona kabisa ni uzembe
Ole ana wachezaji wake watano kwenye kikosi chake ambao anawaamini kuliko kawaida.Kiungo chetu cha Fred na McTominay bado sana..wanashine kidogo kwenye big games..hasa huyu Mctominay ndo hovyo kabisa,anapiga touchesnyingi,anamissplace pasi nyingi na ni mzito kwelikweli..Hapo bado Fernandes hajapoteza mipira kwa kujaribu difficult things..
Anyway
Welcome back Pogba..
Tusipate timu yoyote kutoka SpainNgoma bado mbichi hii mkuu, uwepo wa Roma, Ajax na Villareal kwenye mashindano ni dhahiri bado tuna safari ndefu, though we're more likely kuwa Champions.
United tuna kikosi kizuri sana ila huwa tuna-struggle sana kupata matokeo yakuridhisha tunapokutana na mid-table clubs. Hao niliowa-mention hapo wanatoka competitive leagues tofauti na wengine waliobaki kwenye mashindano.
Usiwa-understimate sana, this time naomba tupite njia nyepesi, yaani tupewe kibonde: ubingwa ni muuganiko wa vitu vingi; ubora wa kikosi, bahati na aina ya opponents unaokutana nao.
Umeona kilichomkuta Spurs! Kapata weak opponent, wana kikosi kizuri (niliomba sana watolewe), wamekosa bahati.
Mmepewa kibonde granadaTusipate timu yoyote kutoka Spain
Tusipate timu yoyote kutoka Spain
Ngoma bado mbichi hii mkuu, uwepo wa Roma, Ajax na Villareal kwenye mashindano ni dhahiri bado tuna safari ndefu, though we're more likely kuwa Champions.
United tuna kikosi kizuri sana ila huwa tuna-struggle sana kupata matokeo yakuridhisha tunapokutana na mid-table clubs. Hao niliowa-mention hapo wanatoka competitive leagues tofauti na wengine waliobaki kwenye mashindano.
Usiwa-understimate sana, this time naomba tupite njia nyepesi, yaani tupewe kibonde: ubingwa ni muuganiko wa vitu vingi; ubora wa kikosi, bahati na aina ya opponents unaokutana nao.
Umeona kilichomkuta Spurs! Kapata weak opponent, wana kikosi kizuri (niliomba sana watolewe), wamekosa bahati.
Timu pekee ya Spain tuliyoitoa mashindanoni comfortably ni Real Sociadad tu ngoja tuone Grananda itakuwajeWatapigwa tu
Kibonde kafikaje quarterfinal?Mmepewa kibonde granada
Granada here we go
Leta logo yao kijana..isijekuwa wanakuja kutuharibia jezi kama hawa chev..Bye-bye Chevrolet.
TeamViewer ndiyo wataanza kukaa kwenye jersey zetu next season 2021/22. Watu wa Technology lazima wanaijua hii company.