Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Viungo wa hii timu kila mech ni kupiga pasi hovyo hovyo tu fred na scott daaaa bado kunahitajika uwekezaj sehem ya kiungo
 
Spurs katoka uhakika wa top 4 hamna alitakiwa kukomaa kama arsenal maana arsenal hata europa mwakani hachezi hii ni nafasi kwao waitumie vizur
 
Viungo wa hii timu kila mech ni kupiga pasi hovyo hovyo tu fred na scott daaaa bado kunahitajika uwekezaj sehem ya kiungo

Hii timu mashabiki wake wote hawana akili, yani wamejazana ujinga kwamba Bruno hakosei.. huyo bruno wenu leo ni mbovu, lakini lawama wanapewa wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…