Manchester United (Red Devils) | Special Thread

lazima tujue ole ni kocha si mchezaji so akisha toa maelezo ni jukumu la wachezaji kufuata so wakulaumiwa ni wachezaji
walio fanya uzembeee si kocha pia jana hatukuwa na sub za maana kutokana na injured tulio nayo ya wachezaji tegemezi
hivyo lazima tukubali jana man u tumecheza ovyo sana aswa first half pia wachezaji wetu ni wachezaji wa msimu leo yupo vizuri kesho under perfomance so kama mashabiki wa man u lazima tujifunze kuishi nalo na tatizo ni

hakuna kugombea namba ndo sababu unaona wachezaji wanacheza ovyooo sanaaaa
ingekuwa rashford ana mbadala unao mtoa jasho kwa kumweka bench angepambana au martrl so
tuombe dogo adam awe wamoto sana amweke martial bench then tuendele ku deal na rash ford
vard de berk angepata mech xa mara kwa mara pogga au fred au matic tungemsahau

all in all GGGM
 
VdB hawezi kupiga mpira wa Pogba tuache utani.
 
Kama hii timu ikitokea wamamuuza diogo dalot utakuwa ni ukichaa wa hali juu jana kacheza bek ya kushoto ambayo sio sehem yake lakini alikuwa mwiba vibaya sana sioni hata brandon william akimfikia huyo dogo sijui sosha alitumia vigezo gani kumtoa kwa mkopo kisha williams akabaki
 
★Amad Diallo’s game by numbers vs. AC Milan (45 mins):


100% tackles won
84% pass accuracy
28 touches
4 ball recoveries
1 shot
1 goal

United account opened.


#GGMU


manutd |
 
★Amad Diallo’s game by numbers vs. AC Milan (45 mins):


100% tackles won
84% pass accuracy
28 touches
4 ball recoveries
1 shot
1 goal

United account opened.


#GGMU


manutd | View attachment 1723776
Ss nadhani huyu mtoto ataanza kucheza, ukimuangalia ni Messi mtupu na nadhani ndio maana kachagua jezi namba 19 nahisi naye anajilinganisha na La pulga.

Hata goli lake kwa mbali linafanana na la Messi alilotufunga kwenye fainali nakumbuka ilikuwa 2009 km sikosei.
 
unamaanisha Ramadhani singano Messi
 
He did a great job building a good squad. But I don't know if he has what it takes to take us further, only time will tell because I don't think he's leaving any time soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…