Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Scott alifunga goli zuri sana dhidi ya city mwaka jana assist ya Ederson Moraes bonge la goli hii mech ilikuwa tamu sana kipindi bruno ndio mpyaaaa
Bruno na Martial walishangilia goli la pili kwa kukumbatiana wakiwa nje ya uwanja (ilikuwa the best scene kwangu) ushindi ukisindikizwa na kimvua.

Kumfunga City ni raha sana kwasababu huwa tunakuwa underrated sana dhidi yao ila katika misimu hii miwili City kaambulia point moja tu, pia mashabiki wake ni wachache ila wanakera jinsi wanavyoongea maneno ya shombo huku timu yao ikiwa haipo hata robo ya mafanikio ya United.

Liverpool ndiyo wapinzani halisi wa United, msimu huu niliombea kama timu yangu isipobeba ubingwa wa EPL basi abebe City ila siyo Liverpool. Mbungi ya North West Derby inakutana miamba ya soka la Uingereza, Manchester Derby inakuwa na ukubwa kwasababu za ubora wa City wa sasa ila North West Derby hata Liverpool awe mbovu vipi anaweza asitoe points 3 kwa United.
 

Kabisa mkuu
 
Massimilliano Allegry.
Leornado Jadim.
Tolloi
Eric Ten Hag.
Marco Rose.
Didier Deschamps
Laurent Blanc

Bora kubaki na sosha tu tukiendelea kutafuta wacheza wazur msimu huu tumeangushwa na striker pamoja na kwamba kuna muda anazingua kimbinu lakin rashford na kaka yake martial wanakosa magoli fikiria tungepata ile nafasi moja ya martial aliyompasia kipa wa city halafu bruno na shaw hawajafunga ina maana ngoma ilikuwa 0-0 haaland anakuacha pale kweli?
 
Kimasihara masihara msimu wa 2021/2022 tunaweza kucheza tena na restrictions,no fans uwanjani..Hii corona hii sikudhani itakuwa balaa hivi
hali ikiendelea hivi hizi timu za wamarekani zitafuata nyayo za barcelona kwa madeni.
hali ni mbaya sana, man utd wanapoteza paundi millioni 4 kwa kila mechi iliotakiwa kuchezwa old trafford
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…