Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Adnan is clearly showing how important was for the club to give him a 5 years contract...
 
Tunapaswa kuongeza goli hawa jamaa wana timu nzuri
 
RvP fouls Wanyama near the edge of the box...last added minute of the half
 
Manchester-United-v-Southampton-Premier-League-2469685.jpg
 
Kuumia kwa Tom si ndiyo kumepelekea Fellaini asitishe operesheni yake...Kagawa ataleta hiyo speed..

Sio rahisi kocha kumwingiza Kagawa kwenye nafasi ya Fellain kwa kuwa Kagawa Si mzuri sana kwenye kukaba vinginevyo Rooney arudi kucheza kiungo hapo kuna possibility kubwa ya kuingia Giggs akitoka Fellain
 
Sio rahisi kocha kumwingiza Kagawa kwenye nafasi ya Fellain kwa kuwa Kagawa Si mzuri sana kwenye kukaba vinginevyo Rooney arudi kucheza kiungo hapo kuna possibility kubwa ya kuingia Giggs akitoka Fellain

Kweli..ngoja tuone...ila natamani kumwona Zaha ndani ya dimba.
 
Man u Hatushikiki thread inayoongoza kwa Post zaidi ya 14 elfu bado chahe zifike 15 elfu ikifuatiwa kwa karibu na thread ya Ufoo Saro
 
Back
Top Bottom