Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The reason kwamba pep n klopp wnabadilishana vijiti haiwezi tofautisha na ule wakati hata kidogo. Unatak kunambia arsenal ya wenger mbovu kuliko hii. Chelsea ya wakati ule na ya sahivi? Man city ya wakati ule na hii vimetofautiana rekodi 2 ila ile ilikuwa na quality sana. Afu uingereza top six ni mbwe mbwe tu hawa wanamaliza msimu wana point 60+ wangeweza mpiku fergie? Afu usimweke van persie kama nd aliplay role kubwa sna kuliko fergie wakati msimu jana wake tuikuwa tumenyang'anwa kombe siku ya mwisho kwa magoli na tuliongoza muda mrefu sana.
 
Haaland plays as the lone goalscorer with 5-6 creators who all collectively look to create for him. At United he wouldn't receive the same service and he wouldn't even be the absolute main forward either. The amount of facilitation he would receive would reduce.
 
Sancho is, himself, a facilitator and has had the same creative load for Dortmund as Bruno has had for us this season — astonishing in itself. He would aid our build-up, progression, play against blocks and transition attacks whilst being positionally flexible on top of all that.
 
Andy Mitten: “I think Pogba will stay, and have been told that he is open to discussing a new contract.
 
Wing ya kulia
ujio wa winga mpya wa kulia mfano wa sancho utakuwa na maana gani kwa amad diallo?
nafikiri usajili wa donny ulitokanwa zaidi na urahisi wake, klabu ina mahusiano mazuri sana na CEO wa ajax bwana edwin van der sar jambo ambalo lilileta urahisi sana wa kimazungumzo ya kibiashara kati ya pande mbili, halafu thamani yake ilikuwa ni nusu ya gharama za usajili wa jack grealish.

changamoto ninayoiona mimi inatokanwa zaidi na mwalimu mwenyewe kushindwa kutengeneza mfumo utakaowanufaisha wachezaji wetu wote muhimu pindi wanapokuwa wazima (pogba, bruno, donny), solution ninayoiona mimi ni mfumo ule ule wa diamond lakini hilo litawezekana zaidi kama midfield wetu wanaolinda defence line watafanya kazi yao ipasavyo bila ya kusahau awe more intelligence, awe na uwezo wa kusoma mchezo kama carrick, awe mtaalamu wa kunusa position mfano wa xavi (yule thiago alcantara kama angelikuwa na takwimu nzuri za kiafya na umri sahihi basi angelipendeza sana).
 
Center backs wetu kuendelea kuwa pazia msimu huu ni ishara kuwa either hawaendani kiuchezaji au wanauzembe unaofana.
wana uzembe unaofanana:
wote ni wazito wa kunusa mipira ya kross zile za chini (wanasita sana kuweka mwili ukiongezea na ujinga wa de gea wa kushindwa kutoka ndani ya box dogo inakuwa hatari zaidi. hii kazi anaiweza bailly peke yake ya kutoa sadaka mwili wake.

wana ujinga unaotofautiana kidogo: lindeloff ni dhaifu kwa mipira ya juu, harry ana udhaifu wa kuokoa mipira ya juu kwa nguvu
 
Mpaka sasa United inahitaji usajili tena wa wachezaji watatu muhimu ili timu iweze kuwa na balance nzuri.

Wing ya kulia, Center back mmoja na Central Midfielder au Holding atakaye complement weakness za Bruno na Donny.
kama itatokezea paul ameomba kuondoka basi nafasi yake izibwe na jack grealish kwa lazima, ndiye mwenye uwezo wa kutatua tatizo la ball retention..

imagine unamweka pamoja declan rice / ndidi na scott mctominay kama ole ataendelea na mfumo huu. Tupate mwendawazimu mfano wa kante au matteo kovacic.

both martial na rashford walipaswa wagombanie nafasi ya winga ndipo akili zitakapowakaa sawa.
greenwood arudishwe namba 9, apambane na cavani.

kama ed woodward hana mpango wa kuleta winga wa kulia ni bora amad diallo apewe nafasi (hii itategemea zaidi na matokeo ya wiki hii ambayo yatatupa mustakabali mzima wa ligi)
 
Namekuelewa sana
 
Wakati mwingine mwalimu wetu anafail sana kwenye management ya kikosi chetu yawezekana tuna wachezaji wa kufunika mapungufu yetu lakini mwalimu hajajua awatumie vipi.

Mfano alifanya kosa kumuondoa Diogo Dalot ambaye alitosha kabisa kuwa mbadala wa winger wa kulia.

Sasa hivi timu yetu haina hata uwezo wa kumiliki mpira walau dakika moja uwanjani haijalishi tuko eneo lipi la uwanja hii inatufanya tuwe vulnerable muda wote wa mchezo.

Rashford na Martial wanapaswa wacheze wing ya kushoto Greenwood na Cavan wacheze hiyo centre forward lakini mwalimu bado anaamini wale wehu wake wawili wanafaa kucheza hiyo central role.

Sidhani kama Pogba ataondoka inaelekea Ole kashamlainisha hivyo anaweza kuongeza mkataba tena.

Ni heri tuwaondoe Matic na Juan Mata tutafute wachezaji watakaokuja kuwa mbadala wa kina Scot na Fred au mbadala wa kina Donny na Bruno tunapohitaji a new dimension uwanjani.

Sioni sababu ya kuendelea kumtunza Juan Mata anayecheza mechi tatu kwa msimu.
 
Mkuu haya yote uliyosema yasingelikuwa na mashiko kama yale magoli anayotunyima Rashford yangeingia nyavuni.
 
Kikubwa zaidi wanauzembe unaofanana na hutokea kwa wakati mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…