OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Next ni nyie ..ci ndio?? Sasa tuleteeni cjui Rashid Makame uyo Magwaya na mwenzake bishoo mashoo uone kitu tutafanya.Umekuja mbio kujibu baada ya dakika 90 kuisha hahahahah...okey ngoja tuone safari yenu itaishia wapi, nitakuja kuendeleza hii comment.
Bado hajafukuzwa tu....Hii comment nilichelewa kuiona.
Unajua binaadam tuna tabia zinazo tofautiana sana, kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga tu, wenyewe wakiamua kupinga jambo wanapinga tu hata kama jambo hilo lina manufaa kwao.
Kuna baadhi ya watu humu wameamua kumkataa tu (kupinga) Sorkskjaer, tena kwa bahati mbaya hata hojazao si za msingi, wenyewe wanapinga tu.
Kuna mwamba moja huyo yeye huonekanaga sana humu siku tukifungwa, comment yake yeye ni "Bado haja fukuzwa?"
Yani yeye tamaa yake ni kuona kilasiku tuna sajili makocha wapya na kuwafukuza, bila kujua kila kocha huja na falsafa yake, hivyo kila siku tutakua tunaanza upya.
Binafs namkubali Sorkskjaer, kinyume na kumkubali, mimi ni mguuni wakuvumilia makocha.
Hata tulipo mtimua Van gar nilikerekwa sana na kuwaambia mashabiki wenzangu kwamba tutakaa muda mrefu bila mafanikio ya maana, na kweli mpaka leo.
Neema imetokea tume mpata kocha (kijana wetu) alie anza kufufua matumaini lakini chaajabu kuna raia zinampinga.
Tubadilikeni wadau mchizi (Sorkskjaer) kaanza kuleta matumaini tumuungeni mkono.
Na van gaal tulichukua FA kama sijakoseaHii comment nilichelewa kuiona.
Unajua binaadam tuna tabia zinazo tofautiana sana, kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga tu, wenyewe wakiamua kupinga jambo wanapinga tu hata kama jambo hilo lina manufaa kwao.
Kuna baadhi ya watu humu wameamua kumkataa tu (kupinga) Sorkskjaer, tena kwa bahati mbaya hata hojazao si za msingi, wenyewe wanapinga tu.
Kuna mwamba moja huyo yeye huonekanaga sana humu siku tukifungwa, comment yake yeye ni "Bado haja fukuzwa?"
Yani yeye tamaa yake ni kuona kilasiku tuna sajili makocha wapya na kuwafukuza, bila kujua kila kocha huja na falsafa yake, hivyo kila siku tutakua tunaanza upya.
Binafs namkubali Sorkskjaer, kinyume na kumkubali, mimi ni mguuni wakuvumilia makocha.
Hata tulipo mtimua Van gar nilikerekwa sana na kuwaambia mashabiki wenzangu kwamba tutakaa muda mrefu bila mafanikio ya maana, na kweli mpaka leo.
Neema imetokea tume mpata kocha (kijana wetu) alie anza kufufua matumaini lakini chaajabu kuna raia zinampinga.
Tubadilikeni wadau mchizi (Sorkskjaer) kaanza kuleta matumaini tumuungeni mkono.
Mkuu naamini solskjaer kapata target zake za kwanza kwa asilimia kubwa ukilinganisha na makocha waliomtanglia mbali na SAF.Sas kama tumeanza kuona matunda ya kurudi kwenye kiwango kwa dani james kwann mtu bora mara mbili kuliko james tusipate mabadiliko chanya zaidi. Man U hatuna right winger kuliko forward trust me. Kocha kuna kitu anataka kuimplement kuwe kuna speedy movement na passing interchange ya kutosha kitu ambacho sancho ni mzuri sana. Wanasema ni mchezaji pekee manchester hayupo anaefit mfumo wa manchester kwamaan kwamba uwezo wa kupick a pass katika full speed wakati rashford na martial hawawez mpaka wapunguze speed
Tuma salam kwa watu watatu.Sasa wewe unaweza kuifunga ATL? angalia tumewasha moto ni kula vichwa tu kwa sasa...
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Napenda kutuma salama kwa Olesendeka akiwa kwenye kona za uwanja OT, natuma pia salam kwa Dgo la kinyaturu bwana Rashid Makame na kaka mkubwa kaka wa boma mzee Magwaya..napenda kuwaambia Kwamba Sisi Chelsea tumewasha moto hivyo wakae makini usije kuwapitia.Tuma salam kwa watu watatu.
Usisahau kuchagua na nyimbo ya kusindikizia salam yako.
Bayern kachafua ubaoLongest UCL unbeaten runs
Mkuu hatariBayern kachafua ubao