Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumchukie Martial tunavyotaka ila hawezi kukosa chansi nyingi kama Rashford anavyokosa..

Mtoto kama hana akili ya mpira vile..

Pira tunalocheza ni pira magimbi.
Kuweza tu kuwa eneo la kukosa goli kwa wakati sahihi hicho ndicho kipaji haswa. Ile mikimbio ya Rashford inawapa pressure sana wapinzani. Kwa waliowahi kucheza mpira kama mimi wanajua huu msemo "tulinde goli letu kwa kushambulia sana" ndicho anachofanya Rashford. Huyo Masho wako hana mkimbio wowote anasaidia nini timu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna lolote..ujinga tu..

Martial simpendi kinoma lakini hawezi kukosa goli zote zile..huu ni ukweli.

Inabidi tuache kuwategemea wote kama kweli tunataka kubeba makombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…