Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, kwamfano hapo tunamtoa Lindolof angeanza nani kati ya beki tulizo nazo?

Hapo ushindi ni sheria
 
Mnaotaka den akae golini halafu de gea benchi muwe mnafikiria mara mbili mbili kabla ya kuandika...
 
Naangalia mechi naona wachezaji wakicheza nakumbuka ole sendeka alishasema yeye hana shida na ubingwa kwahio mashabiki wala tusijipe stress na mtu ambaye hana nia ya ubingwa.
Amalize msimu wake aende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…