Ktk academy yetu madogo nnaojivunia sana ni scott toka apewe nafas na mourinho mech ya kirafiki ilipigwa norway niliona kuna mtu pale ni huyo tu kwa upande wangu
Leo martial ana mech nzur sana west ham wangefunga goli kipindi cha kwanza bila martial kwenda kuruka kichwa mpira wa kona had muda huu tungekuwa tumetolewa mfungaji angekuwa Diop.
★Jamaa atabadilika tu tufanye kama hatumuoni kama kipindi tulipokuwa hatumuoni bwana Fred,afu muda mwingine naona watu hasira za kupigwa Bwna Maguire wanazileta kwa DvB★