Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pep anatembea mule mule alipotembea babu fergie....
Jamaa namtabiria miaka kumi mbele ya kutawala tu tena ipo siku atachukua ubingwa wa epl mara tatu...
 
Unacite info za uongo unataka uitweje?
 
Unacite info za uongo unataka uitweje?

Na ndio maana nimekwambia huo utoto wako hapa huwez kunipeleka huko mlikozea kutuma post za matusi

Sasa kama za uongo we zinakuuma nini? Wewe ni mmiliki wa arsenal? Au ww mwanzilishi wa arsenal yaani unakaa unatuma matusi kwa kitu ambacho ww huna hata shea kichwani zipo ww? Moyes na nyie nani kasajili? Huo ni uongo mnasoma kwa kukurupuka aston villa kakukata gepu ulitaka nikufafanulie hivyo?
 
OGS ntamuhukumu next season, hiki kikosi chake kinaitaji wachezaji kama watatu au wanne tu ili tuwe title contender mkuu

Unajua usajiri wa mchezaji sahihi mmoja tu unaweza badilisha timu nzima like Bruno
 
Hua siandiki matusi. Uliiachagua hii ruti mzee.
 
OGS ntamuhukumu next season, hiki kikosi chake kinaitaji wachezaji kama watatu au wanne tu ili tuwe title contender mkuu

Unajua usajiri wa mchezaji sahihi mmoja tu unaweza badilisha timu nzima like Bruno
Nimekuelewa mkuu,ngoja tuendelee kumuombea njaa Liverpool kwa sasa wakati tunafanya rebuild kwanza
 
kwa mechi tulizo nazo man u mpaka tuje kutana na big match ambayo ni chelsea
sioni wakutusimamisha labda tuamue wenyewe kujisimamishaaa
Kwani nyie basi mnagame ambayo mnauhakika na 3 point

huwa inategemea tu bruno kaamka vip


Keshen mkiomba tu ....!
 
kwa mechi tulizo nazo man u mpaka tuje kutana na big match ambayo ni chelsea
sioni wakutusimamisha labda tuamue wenyewe kujisimamishaaa
Sheffield katufunga,tumepoteza point kizembe dhidi ya Everton,Arsenal tumeshindwa kumfunga..

Hatuna consistency..tusijipe moyo kuna uwezekano wa kuendelea kudondosha points day by day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…