unapojilinda higher line kama tunavyocheza leo wachezaji wote wanapaswa kuwa bize ili kujiepusha na useless counter attack zitakazozalisha goli nyepesi kama hizi tulizofungwa.
mara zote everton wametushambulia huku tukiwa sawa kiuiano wa wachezaji, mzungu unapomuacha na uwiano wa 3 vs 4 ni rahisi kukuadhibu