Singasinga JF-Expert Member Joined Aug 27, 2011 Posts 2,741 Reaction score 3,315 Feb 6, 2021 #147,801 Hii fred kutoanza haiwezi tupoteza kwenye kiungo kweli maana pogba dah
GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 7,068 Reaction score 16,381 Feb 6, 2021 #147,802 Mctominay Leo anacheza Kiungo Cha chini. Huwa simuamn kwenye hiyo nafasi.
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Feb 6, 2021 #147,803 ARV said: SAFII, MARTIAL OUUUUT View attachment 1696214 Click to expand... Kama fred nje kazi ipo
kacnia JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 4,024 Reaction score 15,804 Feb 6, 2021 #147,804 Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Live football tv euro hii app iko playstore
Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Live football tv euro hii app iko playstore
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Feb 6, 2021 #147,805 Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Domain Seized by Law Enforcement
Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Domain Seized by Law Enforcement
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Feb 6, 2021 #147,806 M kathias said: Mctominay Leo anacheza Kiungo Cha chini. Huwa simuamn kwenye hiyo nafasi. View attachment 1696241 Click to expand... Kwn anachezaga kiungo cha wapi?
M kathias said: Mctominay Leo anacheza Kiungo Cha chini. Huwa simuamn kwenye hiyo nafasi. View attachment 1696241 Click to expand... Kwn anachezaga kiungo cha wapi?
king chibya Member Joined Jun 29, 2016 Posts 91 Reaction score 148 Feb 6, 2021 #147,807 Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Hesgoal.com
Lee Cho in said: Wakuu Leo Sina access na TV kabisa Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi #GGMU Click to expand... Hesgoal.com
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Feb 6, 2021 #147,808 Southampton wanakwenda kufukuza kocha soon.
kacnia JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 4,024 Reaction score 15,804 Feb 6, 2021 #147,809 Fred yukoje nje kwenye hii mechi
GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 7,068 Reaction score 16,381 Feb 6, 2021 #147,810 The best 007 said: Kwn anachezaga kiungo cha wapi? Click to expand... Nilitaka kumaanisha kwenye Mido ya (Mc Fred), Fred ndio huwa anashughurika na( ni mzuri) ulinzi zaidi kuliko Mct. Kwenye hii double pivot ya leo tunatarajia McT ndio atakuwa anashughurika na ulinzi kuliko Pogba. Kitu ambacho Mimi simkubali sana.
The best 007 said: Kwn anachezaga kiungo cha wapi? Click to expand... Nilitaka kumaanisha kwenye Mido ya (Mc Fred), Fred ndio huwa anashughurika na( ni mzuri) ulinzi zaidi kuliko Mct. Kwenye hii double pivot ya leo tunatarajia McT ndio atakuwa anashughurika na ulinzi kuliko Pogba. Kitu ambacho Mimi simkubali sana.
Mr_X JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 1,170 Reaction score 2,337 Feb 6, 2021 #147,811 PTER said: Hatakiwi kupumzika? Click to expand... Fred kam Maguire na Bruno hatakiwi kupumzika mkuu
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 11,080 Reaction score 12,319 Feb 6, 2021 #147,812 Nje ya nchi Mocambique? Acha ujinga dogo janja. Nchi za nje wakati tuna lala nje! Inaelekea ulipo zaliwa ndipo ulipo ulipo kulia na mpaka leo upo hapo hapo kwenu kiburugwa. Bro usije nyumba ya mwenda wa zimu na badebe. Singasinga said: Acha ushamba wewe ina maana hujui kwamba unaweza icheki kwenye cm au shida yako tujue uko nje ya nchi Click to expand...
Nje ya nchi Mocambique? Acha ujinga dogo janja. Nchi za nje wakati tuna lala nje! Inaelekea ulipo zaliwa ndipo ulipo ulipo kulia na mpaka leo upo hapo hapo kwenu kiburugwa. Bro usije nyumba ya mwenda wa zimu na badebe. Singasinga said: Acha ushamba wewe ina maana hujui kwamba unaweza icheki kwenye cm au shida yako tujue uko nje ya nchi Click to expand...
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Feb 6, 2021 #147,813 Leo mnainamishwa
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,933 Reaction score 25,245 Feb 6, 2021 #147,814 Tunaomba na kikosi cha Everton. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,933 Reaction score 25,245 Feb 6, 2021 #147,815 Mabroo leo tunafungwa Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,179 Reaction score 37,475 Feb 6, 2021 #147,816 Cavan
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Feb 6, 2021 #147,817 Cavaniiiiiii goooooo
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Feb 6, 2021 #147,818 Big Cavaniii
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Feb 6, 2021 #147,819 Ollachuga Oc said: Mabroo leo tunafungwa Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app Click to expand... Tulia mdada
Ollachuga Oc said: Mabroo leo tunafungwa Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app Click to expand... Tulia mdada
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,528 Reaction score 7,923 Feb 6, 2021 #147,820 Cavaniiiiiiii