Hili mkuu nakuunga mkono walau kidogo kulingana na muono wangu juu ya united.
Sijui hesabu za ole kuelekea ubingwa amezipiga vipi Ila anakuwa na mtizamo wa timu ndogo kila tunapocheza na timu zinazojiita top 6,anacheza kutafuta droo zaidi kuliko ushindi kwanza. Hii hali inanichukiza sana ila ndio basi tu.