Haya ni matunda ya kupanga timu mawazo yako ni Arsenal sasa point tatu umeachia na Arsenal ni sare jumla ni point moja. Wakati ungelishinda leo na Arsenal sare ungejipatia ubingwa. Sasa ManCity watakuwa mabingwa
Yaani tuanzebe mzee maboko sana alicheza mech moja tu vizur ya psg zingine zote mwendo wa kujifunga tu nilipomuona nikajua kazi ipo huyu ni phol jones aliechangamka
Haya ni matunda ya kupanga timu mawazo yako ni Arsenal sasa point tatu umeachia na Arsenal ni sare jumla ni point moja. Wakati ungelishinda leo na Arsenal sare ungejipatia ubingwa. Sasa ManCity watakuwa mabingwa