Rashford alipata injury kidogo game iliyopita..Ole ameconfirm kuwa yupo poa..mimi nisingerisk kumchezesha,maana kuna watu wakucheza na kutupatia ushindi.Mkuu timu umeacha bech hapo ila rashford,greenwood na martial wana rekod nzur sana tukicheza na hao shefield united atakae anza au kukaa bench poa ila ningependekeza greenwood aingie kipind cha pili martial,rashford na cavan waanze pogba yupo form kumuweka bench ni makosa hata kwa shaw
Rashford alipata injury kidogo game iliyopita..Ole ameconfirm kuwa yupo poa..mimi nisingerisk kumchezesha,maana kuna watu wakucheza na kutupatia ushindi.
Ole afutwe kazi kwa lipi?Ole hata ikitokea kufutwa kazi kocha ajae hawez kupata shida kwa sababu tayar kaanza kurudisha unity kwenye timu angalau kuna uelekeo ambao unaonekana kama timu ni vitu vidogo tu kurekebishwa msimu ujao hata ile identity ya timu ilipotea hapo nyuma kwa sasa walau tunaona kuna kurudi jambo moja bado kuzungusha sana kikosi
Arteta anawachezea mind game
Jmoss, partey ndani, Tierney ndani, Odegard ndani, Pepe ndani, Saka ndani, Rowe ndani, Martinel ndani, Auba ndani, Cedrik ndani, Leno ndani
In short ni full mkoko
Bila kumsahau Xhaka. Najua hamumpendi kabisa huyu jamaa
Lingard yupo wapi na anafanya nini?
Ole afutwe kazi kwa lipi?
Kwenu huu ndiyo full mkoko ?Arteta anawachezea mind game
Jmoss, partey ndani, Tierney ndani, Odegard ndani, Pepe ndani, Saka ndani, Rowe ndani, Martinel ndani, Auba ndani, Cedrik ndani, Leno ndani
In short ni full mkoko
Bila kumsahau Xhaka. Najua hamumpendi kabisa huyu jamaa
Lingard yupo wapi na anafanya nini?
Tatizo sio kutukera ila unaongea matusi km mlevi wa chang'aa.Naongea point maana ,zinawatouch mpaka moyoni ....hapa ndipo kauli ya ukweli unauma inapokuja
Zinawakera mpaka wanavurugwa
Wanaenda kuomba msaada kwa mod
Form ya Man City recently ndiyo inapaswa kuwa threat kwetu na kupambana ili tusipoteze points against weaker teams.
Katika mechi tano alizocheza wameshinda zote sisi tumetoka draw mbili ili kukimbia zaidi kule juu tunapaswa kushinda mechi zetu tatu zijazo ikiwemo mechi na Arsenal.
Man City ana game na Liverpool na Spurs probably anaweza kupoteza points lakini kwa form ya hizo timu kuna uwezekano akazifunga zote kwa urahisi tu.
Mechi yetu ya leo na jumamosi tunapaswa kushinda ili tuendelee kuwakimbia serious opponents kabla hawajarudi kwenye form zao za mwanzo wa ligi.
Mkuu ilo ondoa wasi, leo ushindi ni kama kumsukuma mlevi vile.man u leo tukishinda tunarudi moja ila nawasi wasi na olee asije panga kikosi usenge akiwaza mechi ya asernal
na leo tukianza kupigwa tu imekula kwetuuuuuu
We umekuja uzi wetu kule ukasema utakunya kwa mafungu kwenye uzi tumekuvumilia na wewe mvumilie mwenzako.Kuna kiumbe mmoja anapenda sana kudanga humu, mbaya zaidi hana lugha mzuri.
Kama mashabiki wa Manchester United inabidi tumvumilie tu, yani tumchukilie kama kinyamborero chetu cha kutufurahisha tu, nina imani mafanikio yetu ndio yatakayo mtimua humu.
We umekuja uzi wetu kule ukasema utakunya kwa mafungu kwenye uzi tumekuvumilia na wewe mvumilie mwenzako.