Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahaha...maneno ya wakosaji waliokata tamaa na timu zao, wanaanza kuiwangia Man utd. Hahahahha am humbled you know...hahaha
Mkuu tembelea dunian kote

Swala la man utd kubeba EPL haliingii akilin ,kuongoza league sawa coz hata saton ameshawahi kuongoza
 
kutwaa ubingwa kwa manchester united kunategemea kwa wapinzani wetu kupata matatizo.
liverpool aendelee kupata matokeo hayo hayo
 
kutwaa ubingwa kwa manchester united kunategemea kwa wapinzani wetu kupata matatizo.
liverpool aendelee kupata matokeo hayo hayo
Usifikili klop yeye ni kilaza namna hio aendelee kupata hayo matokeo

Liverpool bado ni teami tushio kwenye kugombania ubingwa ,kwa wanaoona wameshamaliza basi wanamatatizo
 
Hii Manchester ya akina Rashid makame, na masho haina impact yeyote ile ..ikifika March hapa mtaanza kumtafuta nani mchawi..
 
Shabiki wa team ndogo unahangaika sana ukute umeanza shabikia City kipindi cha Guardiola, you are very immature in football
Timu ndogo imeshakutoa semi final

Tuliza kikojoleo hicho

Man utd hii ya kina mashoo ,magwaya nayo ni timu


Acha kuaibisha league kubwa ulaya
 
Liverpool nae Henderson out,
 
Huyo ni miongoni mwa masalia wa Arsenal.
Baada ya kuvumilia maumivu kwa takriban miaka 16 bila ubingwa wa EPL, ukizingatia kuingia UCL kwa mbinde wengi wao wamekimbilia Man city.

Shabiki wa team ndogo unahangaika sana ukute umeanza shabikia City kipindi cha Guardiola, you are very immature in football
 
Hii Manchester ya akina Rashid makame, na masho haina impact yeyote ile ..ikifika March hapa mtaanza kumtafuta nani mchawi..
vipi chelsea ya Timo werner, haverte, Malang sarr, eduardo mendy na thiago silva inaimpact gani kwenye league?

Mpo nafasi ya ngapi vile?..... Pia unahitaji impact gani zaidi ya kuwa msaada kwa timu kuongoza league mkuu? Je kikosi chenu kimekosa impact hata ya kuwa top four mpaka baada ya game 19?

Pia on paper mpaka sahizi Werner na rashford nani anagoli nyingi na assist nyingi? Vipi haverts na bruno nani anacontribution kumzidi mwingine?
 
Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…