OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Mkuu wakati mwingine mfumo wa kocha unaweza kufanya mchezaji asiwike ..mfano Werner au Haverts ..unadhani kuna mchezaji wa kumkata namba Werner hapo man u? Jibu ni hakuna. Ndo maana tunataka Lampard aondoke ili aje kocha mwenye uwezo wa kuwatumia vizuri wachezaji na kupata matokeo.Nazungumzia lampard.. nazungumzia chelsea. Sijamzungumzia ole. Usijaribu kuhamisha mada.
Lampard hachezi mpira.. unamtupia lawama zote wkt wachezaji kule hawaonyeshi hata bidii.
Angalia barcelona walivyo. Yule kocha si wa viwango vyao.. lakin wachezaji ndio wanaibeamba ile timu japo kwa shida.
Hahaha tena jana katobolewa yule liverkuku.. sasa na ninyi mukianza kupapaswa sisi tutachukua kasi ya kutosha kama siyo sisi basi ni Leicester City ..naiyona kabisa ikibeba kombe tena.Uchizi huo.
Livakuku yuko nafasi ya 4 lakini hana wazo la ubingwa sembuse wewe!
Tunakuja sisi Chelsea kubeba kombe letu.Wachini yake wakishinda mechi inayofuata Liverpool anashuka mpaka nafasi ya nane
Cha kushangaza ni kwamba huyu mtoto hachezi hovyo na wala hapotezi mipira anaficha mpira na hana maringo, akipata nafasi huwa anafunga tena wkt mwingine ni angle ngumu ila bado anakwambia eti ni hovyo, anataka kumpa majukumu makubwa mtoto mdogo, anataka awe anafunga kila mechi pasipo kujiuliza anacheza nafasi gn.
Jamaa wa ajabu sana.
CR7 pekee ndo bado anacheza.Throw backView attachment 1682729
Hapana Rashford Ana thamani kuliko Sancho,
Hizi ni Data za Cies, kampuni ya Utafiti ya Michezo.
View attachment 1682735
Wamemueka Rashford kama mchezaji Ghali zaidi Duniani.
Factor walizoweka consideration
1. Perfomance
2. Mkataba wa sasa
3. Nchi na Timu anayochezea.
Tunaweza ku argue wapo wrong ila kiuhalisia hata kama Sancho amemzidi rashford gape si kubwa na hata kama Rashford amemzidi Sancho pia gape sio kubwa.
Rashford yupo on course kuvunja Record ya Rooney kama Mfungaji wetu bora zaidi, so far goli 80 anazo na ndio kwanza amecheza kama Robo tu ya Career yake.
Huyo bado hajaezeka paa la nyumba yake, tumuache kwnz.CR7 pekee ndo bado anacheza.
Rooney alipeak mapema sana mkuu, miaka 30 tu alikuwa tayari kachoka.Una uhakika gani atafika umri wa uchezaji aliofika rooney?
Kitaalamu tunaita "ze greti dipreshen"Wachini yake wakishinda mechi inayofuata Liverpool anashuka mpaka nafasi ya nane
Na thamani yote iyo cha ajabu kila dirisha la usajili likifika hakuna hata tetesi za timu kumtaka....Hapana Rashford Ana thamani kuliko Sancho,
Hizi ni Data za Cies, kampuni ya Utafiti ya Michezo.
View attachment 1682735
Wamemueka Rashford kama mchezaji Ghali zaidi Duniani.
Factor walizoweka consideration
1. Perfomance
2. Mkataba wa sasa
3. Nchi na Timu anayochezea.
Tunaweza ku argue wapo wrong ila kiuhalisia hata kama Sancho amemzidi rashford gape si kubwa na hata kama Rashford amemzidi Sancho pia gape sio kubwa.
Rashford yupo on course kuvunja Record ya Rooney kama Mfungaji wetu bora zaidi, so far goli 80 anazo na ndio kwanza amecheza kama Robo tu ya Career yake.
Ile milan iliyojaa wazee ilikua balaaHiki ndicho kikosi kiliipiga wiki (7) As Roma kikaja kunyanyaswa na Ac milan pale San siro, Fergie akawaambia alipoulizwa baada ya mechi akasema amewaambia wajifunze wawe km Milan na kweli mwaka uliofuata wakawa km Milan na kubeba UEFA.
Kamnyima mkubwa mwenzie kaenda kumpa boda bodaIlikuwaje hatukuwafunga Liverpool?
Ni woga wa oleguna tu hakuna kingineIlikuwaje hatukuwafunga Liverpool?
Sababu ana thamani kubwa na yupo Man U, timu ngapi zinaweza kuipokonya Man U mchezaji ambae wanamtaka? Ukitoa Christian Ronaldo ambae Madrid walivunja Record ya Dunia sidhani kama Kuna super star aliondoka hali ya Kuwa tunamuhutaji.Na thamani yote iyo cha ajabu kila dirisha la usajili likifika hakuna hata tetesi za timu kumtaka....