Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Declan Rice has told pals he would prefer to stay in London and has no interest in joining Manchester United, with Chelsea also interested in the midfielder.★

#GGMU


manutd |
 
★Chelsea and Manchester United are both interested in signing Declan Rice, who is valued at €85m by West Ham.

The Englishman would prefer to stay in London and join his best mate Mason Mount at Chelsea.★

#GGMU


manutd |
 
★Solskjær on Pogba, Lindelöf and Shaw: "I hope so [they're available against Burnley]. I hope for Liverpool definitely, but not sure if they’ll make the Burnley one. It's light training tomorrow then we’ll see on Monday.".★

#GGMU


manutd |
 
BIG WEEK FOR US..


There is no way kesho tutakubali kutokuongoza ligi i.e kuwa defeated na Burnley..Ningekuwa mimi ndo CEO ningeandika na barua ya kumsack kabisa Ole na kumuonyesha mapema kabla ya game..""kwamba tukishindwa kuamka jumatano kama vinara wa ligi basi kazi hauna"".


Liverpool Jumapili ijayo nayo nategemea tuingie uwanjani kiume..sio tuingie kama kuku mwenye mdondo...Ole msimu huu kawa mweupe kabisa kwenye hizi big games,yaani hii ndo weakness kubwa this season..akichilia mbali kwanza kuwa outshined kwenye game zenye pressure..

So,

My Starting XI vs Burnley Kesho

============

De Gea

AWB Tuanzebe Maguire Telles

Matic McTominay

Rashford Fernandes Martial

Cavani

============

Bailly,Lindelof,Shaw,Pogba wote walipata injuries kwa mujibu wa Ole na ni doubtfull kwa game ya kesho..Atakayekuwa fit ataingia kwenye nafasi yake direct.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…