Throwback
Lingard kuna kipindi aliwasha moto hadi akawa Mourinho's favourite. yaani jina lake nahisi ndo lilikuwa la kwanza kuwekwa kikosini..Hata mimi nilianza kuwa na matarajio mazuri na yeye..yaani ni mchezaji aliyekuwa anacheza kwa akili nyingi sana kwa kile kipindi..movement kali kali kwenye mechi n.k...dribble za hatari,na itoshe kusema hatujapata dribbles mzuri so far ukiacha zile zake.
All over sudden jamaa akapotea..swali ninalojiuliza hivi ni nini hapa huwa kinatokea?..ni fluke ama?
Nimemkumbuka tu Jesse' Lingardinho..aka JLingz.