Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo ushindi ni muhimu kuliko siku zote.
Sorskjaer asituangushe, apange nondo za kweli.

Leo aingie na 4 2 4 1

Cavani
Martial Pogba Fernandez Rashfood
Fred Mac Tomney
Show Bailey Maguire AW Bissaka

Degea.

Kikosi hichapo ata nyumba ya urithi naweka bondi.
 
★Solskjær: "It was the first thing he [Cavani] asked me, if he could wear the number seven.".★

#GGMU


manutd |
 
Wolverhampton

Tuanze kuweka maturubai au hadi mgonjwa akate moto mazima
 
Mshakamata?
 
Ila leo timu yetu inashinda mkuu
 
Inabidi Mbweha wawe kumi ili kubalansi idadi ya wachezaji uwanjani.
 
Jinsi ligi inavyokwenda ni changamoto waweza kuwa wa pili leo kisha game inayofuata ukipoteza unakuwa wa saba wacha hawa wolves tuwakalie vizuri kitaeleweka
 
4 2 4 1 ndiyo formation gani hii? Mbona unatia aibu we mluguru
 
Hapana kumbe hao wote walisajiliwa na Crystal Palace
Cavani na ighalo wapo kwenye mipango ya muda mrefu?

Pellistri na traole wamecheza mechi ngap timu ya kubwa? Unajua kwa nn wamesajiliwa?

Huwez kudhamiria kuchukua ubingwa wakat una watu wa mipango mifupi ukiwa unajenga timu ndio maana nimekuuliza ile post ya mtu wa mpira?
 
Nafeel hivyo pia..Wolves hawapo kwenye ule ubora wao tuliouzoea..tukishindwa kupata points tatu itakuwa ni mwendelezo wa upumbavu kutoka kwetu

Umewaangalia mechi 5 zilizopita?

Jamaa wako vizuri, nilitegemea wateseka baada ya Jiminez kuumia, lakini wameendelea ku-maintain form yao.

Hawakuanza vizuri lakini wamekuja kukaa sawa mbeleni huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…