Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Prediction ya jamaa aiseeeeBro game iko Anfield, haiwezi kutoka droo.
Kwa mwarabu pesa si tatizoTuchele hakufukuzwa kwa sababu za timu kushuka Kiwango.
Baada ya PSG kufungwa na man u 2-1 kwenye eufa ,,hapo ndy ugomvi wa tuchele na leonardo director wa football PSG ulipoanza,,
Na ukazidi kupamba moto baada ya journalists wa France kumwandama jamaa anapaswa afukuzwe.
-PSG 2' nd ktkt msimamo wa leage 1,,
-- PSG bado ipo ktk 16 bora ya eufa champions league.
Sasa anatatizo gani?
Tuchele amefukuzwa siku 2 baada ya kufanya interview,.
Alihojiwa ktk interview sport 1,,na hiyo ndy inasemekana ni sababu ya tuchele kufukuzwa,,
Kuna vitu aliongea vikawaudhi mabosi wa PSG..
Sababu hata yeye mwenyewe pia aligoma kuongeza mkataba pale PSG,, kwa kisingizio kwamba uongozi wa PSG pamoja na journalists wa france hawamsupport.
Tuchele alibakisha miezi kadhaa mkataba wake kwisha mwanzoni wa mwaka ujao 2021.
Pia kitendo cha kumfukuza na kumlipa 10 millions euros ni cha kiuwendawazimu.kwa uongozi mzima wa PSG..
Ni bora wangesubiri hiyo miezi 6 iliyobaki iishe.
View attachment 1660227
Daaa mkuu hahaahha haya mambo magumu sanaBro game iko Anfield, haiwezi kutoka droo.
Sema jamaa mnamuona mchawi sanaHahahahahahahahahhahahahahahahahah
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Hakuna kitu kama bahati ya ushindi..mipango mzeeKama kawa Mou hana bahati ya ushind....goli dk 1 linachomolewa dk za mwsho kbs
Kitachomfelisha kuweka wazi bifu lake na delle ali kipind kama hiki alitakiwa wachezaj wote wawe kitu kimoja walianza ligi vizur sana ila kwa sasa wanayumbaHakuna kitu kama bahati ya ushindi..mipango mzee
Daaa mkuu hahaahha haya mambo magumu sana
Ligi ngumu sana big sam kwa timu zinazoshuka daraja kuzinusuru yupo poa Kwa upande wangu mkuu namuona aston villa akifanya vizur ligi hii kama leo atapata natokeo kwa chelsea inaweza kuwa timu tishio hata mpira wanaocheza wa moto sanaBig Sam mbaya aisee, kidogo atuue home.
Hii game ni kati ya game zinazonikumbusha kuwa ubingwa wa mwaka huu ni mgumu sana.
Halafu kibaya zaidi ukiacha Man City, wapinzani wote wamepoteza points.
Ligi ngumu sana big sam kwa timu zinazoshuka daraja kuzinusuru yupo poa Kwa upande wangu mkuu namuona aston villa akifanya vizur ligi hii kama leo atapata natokeo kwa chelsea inaweza kuwa timu tishio hata mpira wanaocheza wa moto sana
Mkuu halafu kuna inshu tuliongeaga pm kitamboAstonvilla sana sana atapata nafasi ya kucheza Europa kama akiendelea kukaza.
Yeye na Everton wamekuwa wasumbufu sana msimu huu.
Kuna Man City, huyu jamaa tunamdharau lakini namwona kabisa anaweza kuuwasha muda wowote.
Mkuu halafu kuna inshu tuliongeaga pm kitambo
Si vizuri sana wachezaji wakamzoea sana kocha,lakini pia ni vibaya kocha kuogopwa sana..wachezaji wanakuwa na pressure isiyo na maana.Kitachomfelisha kuweka wazi bifu lake na delle ali kipind kama hiki alitakiwa wachezaj wote wawe kitu kimoja walianza ligi vizur sana ila kwa sasa wanayumba
Poa mkuu fanya hivyo sikupata suluhuHatukukumbushana, ulipotea halafu nikajua umeshapata suluhu.
Nitamtafuta jamaa, maana niliishia katikati
Poa mkuu fanya hivyo sikupata suluhu
Astonvilla sana sana atapata nafasi ya kucheza Europa kama akiendelea kukaza.
Yeye na Everton wamekuwa wasumbufu sana msimu huu.
Kuna Man City, huyu jamaa tunamdharau lakini namwona kabisa anaweza kuuwasha muda wowote.
Uyo Evaton nime mtabilia kumaliza nafasi 2 msimu huu.
Ina maana umechagua kuwa wa tatu au chini zaidi?