Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unasema??? Hebu ongeza sauti
kwa ss hz cartoon zako hazina soko tenaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20201118-WA0006.jpeg
 
✓Kushindwa kupata goli kwenye ile first half ni ujinga mtupu..

✓Pogba akitulia huwa anasambaza mipira vizuri kweli.

✓VdB nimemcheki kwa muda sasa bado hakuna kitu special anachoongeza kwenye timu..Sijui lakini tumpe muda

✓Kikosi kipo wakuu..just imagine tumefanya 9 changes kutoka kwenye kikosi kilichoanza vs Leeds.

✓Martial was good once again..



Next stop ni kwa Leicester City..another must win game for us..Leicester tunawawekea mziki mnene tena..Squad yetu imebalance sana for the mean time

GGMU
 
Back
Top Bottom