Tumemshindwa Sancho halaand tutawezanaPoint yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland
Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.
Ralph Hausenhult atatulaza na viatu let's waitmechi yetu dhidi ya west ham sijui itakuaje hiyo siku. wale jamaa jana walikuwa wanacheza watano pale nyuma na umeona jinsi tulivyokuwa ovyo kanakwamba hatukufanya maandalizi yoyote. sisi tunakuwa bora zaidi tunapocheza na timu mfano wa everton(timu zinazoruhusu kukimbizwa).. next match ni southampton ambao msimu uliopita tulivuna suluhu mechi zote
Why kocha anaendelea kumpanga over and over?..Ukweli ni kwamba Anthony Martial msimu huu yuko hovyo sana tena sana.
Lakini kwa msimu mitatu mfululizo Martial asipopata injury akapumzika kidogo hali hii huendelea kuwa mbaya zaidi.
Anaonekana wazi kachoka sijui kachoka na nini huenda mechi za usiku anazicheza kwa fujo
Mkuu mark my word, OGS hata umpatie Haaland, tutaua kipaji cha dogo tu, hata umpe Mbape atakua kama martial tuPoint yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland
Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.
Sijasema tuende sokoni tukamnunue sasa hivi..nimesema ilitakiwa front line yetu iwe na mtu kama yeye(mwenye attribute kama zake)..Tumemshindwa Sancho halaand tutawezana
Hilo nalijua..OGS hajanishawishi kabisa..lakini ni ukweli hata akija kocha mzuri,hii frontline yetu bado haina maturity ile ya kuleta makombeMkuu mark my word, OGS hata umpatie Haaland, tutaua kipaji cha dogo tu, hata umpe Mbape atakua kama martial tu
Ubora wa manager kwnza ni kuweza tumia resources alizonazo kwa ufanisi
kwa uelewa wangu ni kama indicator inayo tathmini taathira ya mashuti tunayopiga langoni kwa adui. unaweza kuchukua jumla ya mashuti tunayopiga ukagawanya na magoli yaliofungwa baadae ukazidisha kwa 100. unaweza ukawa na shots nyingi kama za wachezaji wa tanzania lakini zisiwe na faida yoyote na ukawa na shots chache za on target au total attempts kama croatia na world cup au man utd ya mourinho lakini zikazalisha magoli mengi. kwenye asilimia 100 sisi tuna 7%. sisi tumeozeanaHii tafsiri yake nini mkuu ?
Ile hela tulotakiwa tukamchukue nayo Sancho, tuitumie kumchukua Erling Haaland.
Hapa nakuunga mkono 200% mkuu, huyu mtoto ananiuma sn roho.Ile hela tulotakiwa tukamchukue nayo Sancho, tuitumie kumchukua Erling Haaland.
Yn hata akitokea pembeni wanachukua mpira kilaini, kwakweli pale tulipigwa asbh kweupee.Hata akitokea pembeni ni mzigo tu
Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.kwa uelewa wangu ni kama indicator inayo tathmini taathira ya mashuti tunayopiga langoni kwa adui. unaweza kuchukua jumla ya mashuti tunayopiga ukagawanya na magoli yaliofungwa baadae ukazidisha kwa 100. unaweza ukawa na shots nyingi kama za wachezaji wa tanzania lakini zisiwe na faida yoyote na ukawa na shots chache za on target au total attempts kama croatia na world cup au man utd ya mourinho lakini zikazalisha magoli mengi. kwenye asilimia 100 sisi tuna 7%. sisi tumeozeana
Sasa atampanga nani ?Why kocha anaendelea kumpanga over and over?..
Kwa juhudi alizozifanya Ole dirisha la January kumsajili Haaland ila Woodward akashindwa tuna sababu za kumlaumu Ole juu ya hili ?Point yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland
Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.
Westham tutawafunga tena kwa urahisi tu ni wasumbufu lakini they are not smart.mechi yetu dhidi ya west ham sijui itakuaje hiyo siku. wale jamaa jana walikuwa wanacheza watano pale nyuma na umeona jinsi tulivyokuwa ovyo kanakwamba hatukufanya maandalizi yoyote. sisi tunakuwa bora zaidi tunapocheza na timu mfano wa everton(timu zinazoruhusu kukimbizwa).. next match ni southampton ambao msimu uliopita tulivuna suluhu mechi zote
De geaHebu tuwekee lineup kwa kutumia hii formation uliyopropose tuone
Sasa hivi kumsajili Haland ni kama kuinunua Borussia Dortmund yote.Point yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland
Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.
ipo hivyo hatuzitumii ipasavyo nafasi zinazotengenezwa. mfano jana kama tungelikuwa na mwanadamu mfano wa de lima zile nafasi 6 alizotengeneza tungelikuwa tunaongea hadithi nyengine.Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.
Tulipigwa na Totenham hizo 6 ndiyo tukaenda kushinda kwa PSG na LiepzigMkuu timu yetu tatizo siyo kina martial wala mchezaj yeyote, tatizo ni OGS tu
OGS hata umpatie Mbape, KDB muongezee na yule Messi wa Guardiola, hatupi EPL
Kama umechunguza ushindi wetu ni inategemea na kujituma kw wachezaji au wachezaj wameamkaje na si mbinu za kocha, ndio maana hatuna mfululizo wa +results
Unamfunga PSG away, unamfunga Leipz goli 5 then unaenda pigwa 6 na totenham tena kwa kiwango kibovu
Sio kweli PTER mchukue Rashford mpeleke Bayern af utaona hata hili garasa Martial tunalolilaumu humu nadhani nalo huenda tatizo ni lile lile la benchi la ufundi kushindwa kupandisha kiwango, unataka kunambia Cavan hana level ya kuchezea utd?Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.
Point yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland
Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.