Hawa Arsenal unao wabeza technically walikua vizuri wangeweza kuongeza goals umakini ungekuepo.Hii ni fedheha mpaka Arsenal kweli?????.... Manchester United is Dead.
Mason greenwood wa kijiwe kimoja kule katavi....We gave everything but it wasn't meant to be. We'll bounce back even stronger.πͺ
Next stop #Istanbul.
Yule kocha ni dhaifu dunia ya 8, haiwezekani katika point 12 unaambulia hapo point moja tena kwa jasho hlf uko nyumbani...Man u hatuna kocha ni kilaza ndo mana aliishusha cadifu city
Alete matokeo na msimamo hapa πππJamani nyama imeiva?where are you ARV?
Kule watashinda kwan bado wanajua man u ni timu kubwa kumbe holaUnafikir Istanbul ni mteremko?
Subiri uone
Yeah, lakini jamani tusiwe na ushabiki wa kushinda tu, hata tukifungwa tutoe credit kwa mpinzani uliyecheza nae. Arsenal kipindi cha kwanza alideserve kupata goli coz alitengeneza chances nyingi shida ikawa umaliziaji. Man u shida yao kubwa ni upande wa winger/flanks mashambulizi mengi hayapiti huko A. Bissaka na Shaw bado hawana consistency kwenye performance zao, hivyo muda wa kupandisha timu wanakuwa wanapiga back-pass.Sijawahi kumsema vibaya yule dogo
Sio hilo tu bali hata sub huwa anachelewa kufanya, hii game ilikuwa ni ya kumuingiza Cavani mapema kabisa ili again momentum mapema lkn kocha yupo tu juu anaangalia tu, mm bhn niseme tu inatosha ctoongelea tena hili jambo tufungwe sawa tusifungwe pia sawa tu, najua bodi inasubiri Ole atolewe ucl ndo wamsack ila ss wkt wanasubiri hvyo tutakuwa hoi kwenye relegation zone.Tugange yajayo ingawa hii tabia ya kocha kukaa tu jukwaani wakati timu inashambuliwa siipendi wala nini anakaa tu mpuuzi yule
Kwahiyo mkuu mnamsusia ole timu??Sio hilo tu bali hata sub huwa anachelewa kufanya, hii game ilikuwa ni ya kumuingiza Cavani mapema kabisa ili again momentum mapema lkn kocha yupo tu juu anaangalia tu, mm bhn niseme tu inatosha ctoongelea tena hili jambo tufungwe sawa tusifungwe pia sawa tu, najua bodi inasubiri Ole atolewe ucl ndo wamsack ila ss wkt wanasubiri hvyo tutakuwa hoi kwenye relegation zone.
So from today onwards ctaongelea chochote kuhusu Ole ashinde au afungwe yote sawa tu mpk pale atakapotimuliwa na nina uhakika atatimuliwa tu hakuna namna cz tm inaonekana ina bahatisha mno yn haichezi kitimu kabisa, ipo slow haina muunganiko na inategemea wachezaji wameamkaje, hovyo kabisa.
Ndiyo maana nasema Daniel James angecheza kushoto au Cavani aanze halafu Rashford acheze kushoto.Yeah, lakini jamani tusiwe na ushabiki wa kushinda tu, hata tukifungwa tutoe credit kwa mpinzani uliyecheza nae. Arsenal kipindi cha kwanza alideserve kupata goli coz alitengeneza chances nyingi shida ikawa umaliziaji. Man u shida yao kubwa ni upande wa winger/flanks mashambulizi mengi hayapiti huko A. Bissaka na Shaw bado hawana consistency kwenye performance zao, hivyo muda wa kupandisha timu wanakuwa wanapiga back-pass.
Leo mmecheza vizuri you deserved to winKwahiyo mkuu mnamsusia ole timu??
ushabiki huu duh!
Yah walistahili ushindi, walicheza vizuri sana first half, ofcz Arteta anajenga Arsenal taratibu japo hana wachezaji wazuri kuliko cc but wanacheza kitimu sn.Leo mmecheza vizuri you deserved to win
Hahahahahahahahah Mziki wa leo Hakika ni mtamu,Endelea kuufurahia tu Hahahahahahahahah. ππππππππ.MZIKI WA LEO NIMEUKUBALI SANAAA..martial ASIPOKUWEPO DUNIA TAMUUUUView attachment 117299