Manchester United (Red Devils) | Special Thread

inakera sana kufungwa na timu ndogo kama arsenal tatizo la leo ni pogba na kocha hivi cavani tulimchukua wa nini kama hatuwezi kumuanzisha?pogba kachemka sana leo lakini kocha hakumtoa angefanya maamuzi mapema wala asingeleta upuuzi aliofannya tumefungwa sababu ya kocha
 
huyo cavani kafanya nini mpaka aanzishwe? timu haina width kabisa, unaona hitaji la winga pembeni.
 
😝 😝 😝 😝 😝 😝 😝 And this is the happiness i was waiting for!

Ole must go.
 
Arteta kucheza na timu za kawaida km man u
 
timu ndogo ndo ishakutoa kizibo
 
Ole bhana


Pogba amechoka naongea na jamaa pembeni, nasema Pogba atolewe... mara paap TUTA (msimu huu Pogba anasababisha TUTA mara ya pili kizembe tu)

Halafu anakuja kumtoa Bruno (ambaye muda wowote anasababisha kitu) na kumwacha Pogba ambaye ana ball dance nyingi kuliko kufanya kitu uwanjani
 
Tatizo kubwa la Man United ukiwapa mpira wao wapossess ndio wanakuwa wadhaifu na hii kitu team nyingi zishajua ndio maana hata Lampard pamoja nakupenda kucheza sexy football lakini akabadilisha approach dhidi man united akawapa wao ndio wapossess the same as Arsenal walichofanya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…