Wakuu wa kipande hii BJ & CO mumshukuru referee kwa kuwabeba vinginevyo dakika ya 76 hii bado ingekuwa 0-0 naona Van puuuuuu ameshakuwa mdebwedo, shurti awekewe maguu kumi na mbili ya mtu mzima mwenye akili timamu ndiyo azione nyavu lol!.
Wakuu wa kipande hii BJ & CO mumshukuru referee kwa kuwabeba vinginevyo dakika ya 76 hii bado ingekuwa 0-0 naona Van puuuuuu ameshakuwa mdebwedo, shurti awekewe maguu kumi na mbili ya mtu mzima mwenye akili timamu ndiyo azione nyavu lol!.
hahahahahah lol! Mie BAK banaaaa nilikuwa nachangamsha tu hii thread yenu maana imekuwa kimya sana siku za karibuni...Namuona Babu SAF in the house....ana miss sana kuwepo kwenye mitikasi ya kila siku kuiandaa timu.