Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umewah kumuona kwenye top 3 kwa misimu mingap kwenye tuzo za dunia kwa wachezaj bora?
Kama umeamua kumpinga sawa. Lakini Ballon D'or kuna kipindi zilikua ni za kibiashara zaidi. Now ni lini Lewandowski alikua flop
 
Kama umeamua kumpinga sawa. Lakini Ballon D'or kuna kipindi zilikua ni za kibiashara zaidi. Now ni lini Lewandowski alikua flop

Point yangu kule juu ni kwamba mess na ronaldo ndio ambao hawajah kuwa chini ya kiwango umechanganya mambo
 
Point yangu kule juu ni kwamba mess na ronaldo ndio ambao hawajah kuwa chini ya kiwango umechanganya mambo
Na hilo sijakataa mimi nikamtaja Lewandowski kama miongoni mwa ambao wamejitahidi kua na consistency.
 
Na hilo sijakataa mimi nikamtaja Lewandowski kama miongoni mwa ambao wamejitahidi kua na consistency.

Bado alikuwa hana ubav wa kupenya kwa mess na ronaldo huyo jamaa ni msimu huu tu kawazidi lakin miaka yote wao huwa top
 
Mmetumia sana 4 3 3. Hii 4 2 3 1 imekuja kua kama rasmi tangu Donny afike.
Jaribu kuwa na aibu basi mimi naangalia karibu game zote za united Solkjaer hajawahi kuacha kutumia double pivot na striker mmoja.

Ni mechi chache sana ambazo hatukutumia 4 2 3 1 msimu uliopita.

Msimu ambao Solkjaer alitumia 4 3 3 ni ule ambao alikuwa interim manager.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 

433 ulimpa sana matokeo alipobadili kazi ikaanza ya vichapo
 
433 ulimpa sana matokeo alipobadili kazi ikaanza ya vichapo
4 3 3 msimu uliopita Solkjaer hakutumia kwenye mechi yoyote except game ya Liverpool pale Anfield tulibadili mifumo mara tatu ndani ya dakika 90.

Nje na hapo hatukutumia 4 3 3 msimu uliopita hata mechi moja.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Wakat mnacheza na Barcelona alikua interim manager?
 
Wakat mnacheza na Barcelona alikua interim manager?
Nimekwambia msimu wake wa kwanza ambao alianza kama interim Mananger alitumia 4 3 3.

Msimu uliopita hakutumia huo mfumo sasa wewe unasema anatumia 4 2 3 1 ili Donny apate nafasi wakati msimu uliopita wote tumetumia 4 2 3 1?



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Umenielewa visivyo. Sijasema kuogopana hapo. Sasa kocha atarisk mchezaji muhimu kwa newcastle leo halafu siku 2 mbele ana mechi ya uefa?
Wachezaji wetu wote ni Muhimu ndiyo maana tulimfunga PSG nyumbani kwake wakati wachezaji watano wa first eleven wakiwa majeruhi.

Tuna squad depth kubwa kuliko Arsenal na Totenham mpaka wengine hawapati nafasi ya kucheza.

Kwenye midfield pekee tunawachezaji 10 striking force tuna wachezaji nane.

Sasa hizo risks ni vitu ambavyo haviepukiki uwanjani but tutapata matokeo tunayoyataka.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
That's the spirit. Haya tusubiri tuone.

Kua na wachezaji wengi mpaka wengine hawachezi inamaanisha usajili haukujua unataka nini.
 
Swali jibu lake lilitakiwa liwe "Ndiyo" au "Hapana"

Mechi kabla haijaanza timu huonyeshwa formation zao. Unless canal + iwe na makengeza kipindi ambacho Martial majeruhi mlikua mnatumia formtaion gani?
 
Swali jibu lake lilitakiwa liwe "Ndiyo" au "Hapana"

Mechi kabla haijaanza timu huonyeshwa formation zao. Unless canal + iwe na makengeza kipindi ambacho Martial majeruhi mlikua mnatumia formtaion gani?
Hatukuwahi kubadili mfumo katika msimu uliopita except mechi ya Man city Etihad na Liverpool Anfield

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
That's the spirit. Haya tusubiri tuone.

Kua na wachezaji wengi mpaka wengine hawachezi inamaanisha usajili haukujua unataka nini.
Man united ni timu kubwa kuliko Arsenal, ina mlengo makubwa kuliko Arsenal na lazima iwe na Squad kubwa kuliko Arsenal.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…