Mngeshinda nyie , kwan CV ndio inacheza ,hao wanafunguka wameshaamini ligi ni zao. Kumbe watu wamebadilika
Siumeona Leo umekuka 6 hapo hapo kwako
Ungekuwa na Akili ungeelewa namaanisha nini ,Ateta ni kocha bora zaidi ya Klopp? mpira unadunda Aaron, tunza sana akiba ya maneno ndugu yangu.
Kwan pep Kafungwa 8Ateta ni kocha bora zaidi ya Klopp? mpira unadunda Aaron, tunza sana akiba ya maneno ndugu yangu.
Ni average player tu, hivi huyo kamfikia hata Theo walcoth ?
Kwan pep Kafungwa 8
Mnaumwa nyie ,
Kipya anacho Sosha ndio maana amekula 6 homeBinafsi sijaona kipya toka kwa arteta sema ni mourinho aliechangamka anapiga ukuta wachezaj wote wanajaa kwenye box anavizia na kaunta kwisha hamna gem kubwa kafunguka zote anavizia had kwenye matuta kanavuka ila sio kacheza mpira mkubwa wap na wap na ww
Basi huyo Greenwood ni Average player,Mi simfaham walcot
Mngeshinda nyie , kwan CV ndio inacheza ,hao wanafunguka wameshaamini ligi ni zao. Kumbe watu wamebadilika
Siumeona Leo umekuka 6 hapo hapo kwako
Kipya anacho Sosha ndio maana amekula 6 home
Huyo Arteta alikubonda 2-0 ,umejisahaulisha tu
Unasema?Binafsi sijaona kipya toka kwa arteta sema ni mourinho aliechangamka anapiga ukuta wachezaj wote wanajaa kwenye box anavizia na kaunta kwisha hamna gem kubwa kafunguka zote anavizia had kwenye matuta kanavuka ila sio kacheza mpira mkubwa wap na wap na ww
SawaView attachment 1590546
Nafaham maumivu yako yalipo 6-1 na 8-2 hutakaa ulipe kamwe
Wewe Acha ubishi umepigwa 6 hizo nguvu unatoa wapi usiku huuWe jamaa arteta kumfunga sosha 2 au kufungwa 6 haina maana kocha wako ni mzur unataka kusema pep ni kocha mbovu kwa kuwa kafungwa na arteta?
Unaongea kwa uchungu, eti sinia Mara birika ,hivi soseji kashinda niniTimu ya mchangani mnahangaika sana bawaza nyie washina manat siku mshinde tano kwetu si jf atashek maana mmeshinda sinia na birika kelele balaa
Wewe Acha ubishi umepigwa 6 hizo nguvu unatoa wapi usiku huu
Sasa Sosha unamfananisha na Arteta ? Wewe kiazi kweli Arteta ana makombe mawili sosha ana nini zaidi mnapokea vipigo vya aibu nyumbaniWe jamaa arteta kumfunga sosha 2 au kufungwa 6 haina maana kocha wako ni mzur unataka kusema pep ni kocha mbovu kwa kuwa kafungwa na arteta?